Passenger19
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 597
- 955
Siwezi kuwa nyuma itakuwa nipe nikupeWeeeeh ntakuletea zawadi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuwa nyuma itakuwa nipe nikupeWeeeeh ntakuletea zawadi kabisa
😂😂😂Weeeh acha kabisa, basi siku hiyo itakua ni moto wa kuotea mbaliSiwezi kuwa nyuma itakuwa nipe nikupe
😂😂😂Weeeh acha kabisa, basi siku hiyo itakua ni moto wa kuotea mbali
Haya sawaItakuwa ni moto au bambam😀😀😀
Mie lazima pia nipate size yanguWewe hutaki😂?
Am here best uko poa
OYaaa tajiri niaje🤓Am here best uko poa
Niko poa, nimekumiss sanaAm here best uko poa
Hakika kabisa 😂Hahaha, Bora u learn kwenye ukuta utulie tu.
Maana uta vuruga mambo.
Mzee wenu umri umeenda, siwezi kutafsiri mkiandika mafumbo.We hujui majukumu wako yuko wapi?
Nina mashaka na huu ubabu sasa
😂😂😂Mara tunasikia hakuna kutoka mtu kila mtu ajitambulishe kwa Id yake siku hiyo kila mtu atasema yeye ni Lucas mwashambwa
Mi natamani kukuonasidhani kama ndio maana ya event...hahaha anyway ungependelea kumuona nani hasa?
ImeahirishwaJamani party lini sasa..
Wengine ndo tushafika dar es salaam...
Soon nitakuwa Ewan usijaliNiko poa, nimekumiss sana
Poa mzeeOYaaa tajiri niaje🤓