Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Sitaki za wazee 🤣Wazee wa JF hawana baya, nauli tu sio shida kwao😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki za wazee 🤣Wazee wa JF hawana baya, nauli tu sio shida kwao😂😂😂
Umekula kwanza😂😂😂Kisa nini 🤣
Tulia nkupe muongozo binti yangu😂Sitaki za wazee 🤣
Nimeshiba ndiiiUmekula kwanza😂😂😂
Embu ntolee balaa mie
🤣🤣 nitumie hiyo miongozo kwa PDFTulia nkupe muongozo binti yangu😂
Umedhamiria 🤣🤣Party ianze mazeeee
View attachment 2920352
Haswaaaa 😄Umedhamiria 🤣🤣
Hakika sweetheart, usijali 😘😘Forever and always babee! Anyday anytime 💞
We tulia hautokuwepoUmedhamiria 🤣🤣
HApana mie sijali naipenda tabia yanguAchana nae tu dear maan nimekuja kuona tunaweza kua tunabishana na mwanamke mwenzetu.
Set the location upasuke😀🤣Tulia wewe kastuli
Tukutane muhimbili refa awe janabi atakaepasuka ashonwe chap chapSet the location upasuke😀🤣
Kwani laki ili Isha 😀🤣 mnitumie nauli tu mimi
We jomba muoga Sana🤣, we ka vipi tukutane ferry kigamboni.Tukutane muhimbili refa awe janabi atakaepasuka ashonwe chap chap
I heard No trouser fit to contain, your body na package 😀Haitakudhuru pia Jobless 🤣
Kiongozi na kinachoumaga ni muda wa kuondoka muda ukianza kwenda sana unawaza muda huu nitapata daladala kweli🤣🤣🤣Aikooo! na wewe kwanini uliishi kufake fake JF 🤣 🤣 🤣 ila umenichekesha sana