All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

Pole sana 😂😂😂😂
Ila yashapita udugu tugange yajayo…. Selfika bye bye km kawaida mods hawataki mambo mengi..!!
Wewe si ulisema uzi usipoe uchachuliwe 😂😂😂😂
Ndio hivo umelala yooo
My Wii usiniambie wamefunga Tena selfika 😀😀
 
Wazo zuri sana tupate kuona uhalisia wa wale tunaowadhania ndio kumbe sio.

Ikatokea kukawa na haja kila mtu aje na ID yake, kuna viumbe humu itabidi vijigawe. Maana humu kuna njemba zinachat kama mademu, kuna walimwengu wanamiliki ID mpaka 5 na zote zipo active. Kuna mpaka couples humu ambazo ni mtu mmoja. Jamaa anamiliki account ya demu na mwanaume halafu hizo account zina date.
😂😂😂Mimi mnipe camera niwe Nachukua matukio muhimu 😂😂
 
Sina habari aisee [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.

Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unafungwaje na nilitoa taarifa kuwa na mie ntauchachuaaa.
Modes wamenikosea sana wallah.
Umechelewa kalamu imeshaliwa uduguu 😂😂😂
Subiri ukifunguliwa tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.

Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
😂😂😂😂 ilooo umekosa udambu udambu uduguuu….. yani nacheka hapa!!
Ulivyoupania na modes wakaufunga
 
Wazo zuri sana tupate kuona uhalisia wa wale tunaowadhania ndio kumbe sio.

Ikatokea kukawa na haja kila mtu aje na ID yake, kuna viumbe humu itabidi vijigawe. Maana humu kuna njemba zinachat kama mademu...
Account ya Me na Ke zote zake halafu anaji date huo ni wehu 🤣😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Lamomy wangu mim nina watoto wawili Feni tedoka first born na mshamba_hachekwi second born na baba yao ako humu humu ndani.
Huyo alikua rafki tu na siwez cz napenda mwanaume mwenye sifa za kiume.
😂😂😂😂😂 wee usinambie??
Dah!! Mbona hii kali sana aiseee!!
Kwahiyo yeye hana sifa za kiume??
 
Mahiii dear mim sijawai kua na mahusiano wala na upendo wa kimapenzi na huyo kikulacho ingekua hivo basi kina poker, kina mshamba wote wangekua mabwana zangu kweli.

Kero yangu kubwa ilikua ni kunitukana hayo mambo ya mahusiano lbd anasema yeye.
Maan hadi kuna sehem kasema ety mim nimechukia cz nilidhani yeye ndio atakua future wangu. Hivi kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Weeee hebu kwanza 😂😂😂😂😂😂
Future whaaaaaattt?!!! JF ya moto sana
Mpk mafuture huzba wapo!!!
 
Gily Gru twende zetu 😁mume wangu sijui naaga vp akishasikia sehemu ya kuchanganyika wanaume na wanawake huwa mzito wa ruksa gym nilimdanganya wanawake tuna sehemu yetu akakubali siku kaona video tuko mixer akapiga marufuku 😁
 
[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.

Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
😀😀Mimi Sina habari bas aunt kumbe mlitetemeshana
 
Back
Top Bottom