Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Aaa wapi, sio rahisi kuonana na m jf zaidi ninayemfahamu tayariMarahaba kaka… utakuwepo eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaa wapi, sio rahisi kuonana na m jf zaidi ninayemfahamu tayariMarahaba kaka… utakuwepo eeh
My Wii usiniambie wamefunga Tena selfika 😀😀Pole sana 😂😂😂😂
Ila yashapita udugu tugange yajayo…. Selfika bye bye km kawaida mods hawataki mambo mengi..!!
Wewe si ulisema uzi usipoe uchachuliwe 😂😂😂😂
Ndio hivo umelala yooo
😂😂😂Mimi mnipe camera niwe Nachukua matukio muhimu 😂😂Wazo zuri sana tupate kuona uhalisia wa wale tunaowadhania ndio kumbe sio.
Ikatokea kukawa na haja kila mtu aje na ID yake, kuna viumbe humu itabidi vijigawe. Maana humu kuna njemba zinachat kama mademu, kuna walimwengu wanamiliki ID mpaka 5 na zote zipo active. Kuna mpaka couples humu ambazo ni mtu mmoja. Jamaa anamiliki account ya demu na mwanaume halafu hizo account zina date.
Umefungwaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]My Wii usiniambie wamefunga Tena selfika [emoji3][emoji3]
Siyo kawaida yako mkuuUnazingua 😄
Sina habari aisee 😀😀Umefungwaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.Sina habari aisee [emoji3][emoji3]
Umechelewa kalamu imeshaliwa uduguu 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unafungwaje na nilitoa taarifa kuwa na mie ntauchachuaaa.
Modes wamenikosea sana wallah.
😂😂😂😂 ilooo umekosa udambu udambu uduguuu….. yani nacheka hapa!![emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.
Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
Account ya Me na Ke zote zake halafu anaji date huo ni wehu 🤣😂Wazo zuri sana tupate kuona uhalisia wa wale tunaowadhania ndio kumbe sio.
Ikatokea kukawa na haja kila mtu aje na ID yake, kuna viumbe humu itabidi vijigawe. Maana humu kuna njemba zinachat kama mademu...
Umeona bff naomba tuanze kuchukua order tupeleke uturuki watengeneze tupige pesa, fursa ishajileta 😂😂😂😂Tupige kampeni bff ili tuuze white dress 🤣🤣
Usijali nakuweka bff sisi tunakaa VVIP na babu yetu 😂😂😂😂Niweke hapo namba 2 lazima nikae na babu
😂😂😂😂😂 wee usinambie??😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Lamomy wangu mim nina watoto wawili Feni tedoka first born na mshamba_hachekwi second born na baba yao ako humu humu ndani.
Huyo alikua rafki tu na siwez cz napenda mwanaume mwenye sifa za kiume.
Weeee hebu kwanza 😂😂😂😂😂😂Mahiii dear mim sijawai kua na mahusiano wala na upendo wa kimapenzi na huyo kikulacho ingekua hivo basi kina poker, kina mshamba wote wangekua mabwana zangu kweli.
Kero yangu kubwa ilikua ni kunitukana hayo mambo ya mahusiano lbd anasema yeye.
Maan hadi kuna sehem kasema ety mim nimechukia cz nilidhani yeye ndio atakua future wangu. Hivi kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀Mimi Sina habari bas aunt kumbe mlitetemeshana[emoji23][emoji23][emoji23] modes wameufunga baada ya mie kusema naenda kusawazisha mambo, wakae kwa kusubiri.
Wakaona huyu kivurugee atakuja kuitetemesha JF, wakatia [emoji357]. Woiiiiiih
Yaan nlipanga Leo niuchachue uzi balaaa.
😂😂😂😂😂 Wewe baki tutakusimulia mahiGily Gru twende zetu 😁mume wangu sijui naaga vp akishasikia sehemu ya kuchanganyika wanaume na wanawake huwa mzito wa ruksa gym nilimdanganya wanawake tuna sehemu yetu akakubali siku kaona video tuko mixer akapiga marufuku 😁
Sio ya kukosa kama inafanyika mchana nitakuja tu InShaaAllah.😂😂😂😂😂 Wewe baki tutakusimulia mahi