Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Wenzangu wanatoa Pesa 3000 mimi apeche alolo 😁😁Pole sana shem ila mngeyaongea myamalize, upweke unakaba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzangu wanatoa Pesa 3000 mimi apeche alolo 😁😁Pole sana shem ila mngeyaongea myamalize, upweke unakaba sana
Shem umepata sababu basi ndio usahau ni mwendo wa afu 3Wenzangu wanatoa Pesa 3000 mimi apeche alolo 😁😁
😁😁😁😁shem toka jana nalia moyo wangu umeumizwa 🥲Shem umepata sababu basi ndio usahau ni mwendo wa afu 3
Usilie shem wangu wasijekuita shem kilizi bure 😂😁😁😁😁shem toka jana nalia moyo wangu umeumizwa 🥲
Shem kesho nayo ni siku🙏🏻Usilie shem wangu wasijekuita shem kilizi bure 😂
Haha landa iwe siku ya wanawake duniani 🤣 na huwa inakuwa lini vileGily Gru twende zetu 😁mume wangu sijui naaga vp akishasikia sehemu ya kuchanganyika wanaume na wanawake huwa mzito wa ruksa gym nilimdanganya wanawake tuna sehemu yetu akakubali siku kaona video tuko mixer akapiga marufuku 😁
Lala salama shemShem kesho nayo ni siku🙏🏻
Wanao Lia una wajua🤔🤒, aisee si yaishe 🤒😁😁😁😁shem toka jana nalia moyo wangu umeumizwa 🥲
bro nina portfolio nyingi imara tu, so siwezi sumbuliwa na lunatics wa zama hiziShem umepata sababu basi ndio usahau ni mwendo wa afu 3
sitakiii hao wengine, na soon congo.Wapo wengi atapata Jf
Huwezi elewa nusu albinoo we, endelea kukanda na kuumua.u don't give a shit eeh😂
Vitabu 14 vyanini
Wakiweka tarehe mzee kwani flight sh ngap😁Kaka Seoul mpk Huku labda utumie ungo😀.
Aaa wapi, sio rahisi kuonana na m jf zaidi ninayemfahamu tayari
Nourhan am humbled u know super humbled 🙏Hapana kipenzi mie sina crush yoyote humu ila kuna baadhi ya watu nawakubali kwa comments zao au post kama huyo bwana Kagame au kaka yangu Gily Gru tumejuana humu tumekuwa kama family friends mpaka mume wangu anamjua mzee wangu JBourne59 The Boss Mzee wa ku like raraa reree 😁 INSIDER MAN Glenn DR Mambo Jambo marehemu leadermoe na kadhalika.
Muambie unaenda kwenye kitchen partyGily Gru twende zetu 😁mume wangu sijui naaga vp akishasikia sehemu ya kuchanganyika wanaume na wanawake huwa mzito wa ruksa gym nilimdanganya wanawake tuna sehemu yetu akakubali siku kaona video tuko mixer akapiga marufuku 😁
HahahahahaChukua ticket mbili basi eti swahiba
Kwani we hujui😂😂😂😂😂 wee usinambie??
Dah!! Mbona hii kali sana aiseee!!
Kwahiyo yeye hana sifa za kiume??
Haya bhana, I mean Malice to nobodyWakiweka tarehe mzee kwani flight sh ngap😁