Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Sawa mamaππKipenzi kwa mimi binafsi natania πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mamaππKipenzi kwa mimi binafsi natania πππ
Amen amen amenNapambana kipenzi niwe bilionea π
ππππ We binamu mimi sina pdf lolote mwenyewe nasikiliza mnavyochambana tuβ¦Lamomy na Nuzulati
Mim naheshimu watu wote humu ndani, ilaa kitendo cha yeye kuninanga ndio kilinikera.
Angekua ni mvulana mwenye akili angekuja akasema oya ww binti acha moja mbili tatu hilo la kwanza.
La pili swala la kuonyesha kama mim niilikua na mahusiano nae ni swala la uongo na kujimwambafy hata shemeji enu wa kweli kaona haya mambo kashangaa. Kwa sababu hata ule uzi aliuona.
Kingine ni kua my love Lamomy huyo alokutumia hizo pdf ungemwambia tu akatafute kitu cha kufanya kwa sababu hata ww umlipi kwa kua chawa wakoπππππππ ( ungemuita akasoma hili pia)
Haya mambo wapenzi tuishieni nayo hapa cz tunakoelekea tutapigwa ban na mim sitak kupigwa ban cz bado naipenda jf.
Haya tupange sare za party JF queens
ππππ huwezi kupigwa ban kwani umemtaja mtu?? Kwanza hapa tunachangamsha gengeEeeh tena umenikumbusha kuhusu abaya.
Sema Lamo acha kelele ntapigwa ban sitak banππ€£π€£π€£π€£
Ety mtaje thubutuuuuuuu.ππππ We binamu mimi sina pdf lolote mwenyewe nasikiliza mnavyochambana tuβ¦
Halafu huyo sio chawa wangu, sema mi nipo katikati hata sielewi yy ananitag hapa na wewe unanitag basi naishia kucheka na kuwajaza halafu ubuyu wenyewe hamnipi vizuri ππππ
Sasa bina tuachane na hayo yote!! Kuna point ya msingi umeongea kwamba humu kuna mwamba π
Ni nani tena huyo?? Hebu mtaje basi ili niwe namuheshimu shemeji nisije kumkosea heshima bure π
πππππ na mi nalia sanaTena umenikumbusha na uzi alifunguliwa eti leo lovie ni wa kumsema vile kaka yetu nalia huku π
Huko kuchangamsha genge huko ndo kupigwa pinππππ huwezi kupigwa ban kwani umemtaja mtu?? Kwanza hapa tunachangamsha genge
ππππ ugomvi gani usioisha??Shangaa na wewe ukute wapo pamoja wanatutafuta wambea ubaya ππ
Ameshaacha kitambo we utakwenda nae tuLabda awe ameacha ukorofi na ukali wake. Maana ni mtata sana huyo π
Weee mbona sina screenshot πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ila hizo screenshot huyo nae alokutumia atakuja asutwe khaaah
Au ndo anatafuta tuzo ya mmbea namba moja tz.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£Weee mbona sina screenshot ππππ
Piem yangu nimefunga sichatigi na wanaume bina
ππππ kwahiyo buloo muongo muongoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yani mvulana yoyte anaeongea sana sana uongo mwingi mim nope big noope.