Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Hawa vijana wamekaa kinanihii kabisa. Hakuna siri.
Anatoa maamuzi gani??makonda hana cheo chochote chamani kama mpokiAlly Bananga ambaye sasa ni Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar, amejikuta anakula matapishi yake baada ya kuangukia mikononi mwa Makonda. Kumbuka Paul Makonda ni Mwanachama hai na mwaminifu wa CCM Mkoa wa Dar. Pia ni moja ya Watoa Maamuzi.
Bananga alipokuwa CHADEMA, yeye na Mwenzake Boniface Jacob, walikuwa wanamnanga Makonda kwamba ana vyeti feki wakawa wanamuita Bashite Ziro brain.
Hii Dunia ni Duara. Safari hii Bananga amejikuta Makonda ni Boss wake. Aendelee kuongea maneno yake tuone.
View attachment 2717916
Ally Bananga Kushoto akiwa na Makonda huku akikosa wapi afiche sura yake
Ni Sawa lkn umesahau kwamba siasa haina rafiki Wala adui wa kudumu. Kinachodumu ktk politik Ni maslahi tu. Hao Sasa hivi Lao moja wako ktk mduara mmoja.Ally Bananga ambaye sasa ni Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar, amejikuta anakula matapishi yake baada ya kuangukia mikononi mwa Makonda. Kumbuka Paul Makonda ni Mwanachama hai na mwaminifu wa CCM Mkoa wa Dar. Pia ni moja ya Watoa Maamuzi.
Bananga alipokuwa CHADEMA, yeye na Mwenzake Boniface Jacob, walikuwa wanamnanga Makonda kwamba ana vyeti feki wakawa wanamuita Bashite Ziro brain.
Hii Dunia ni Duara. Safari hii Bananga amejikuta Makonda ni Boss wake. Aendelee kuongea maneno yake tuone.
View attachment 2717916
Ally Bananga Kushoto akiwa na Makonda huku akikosa wapi afiche sura yake
Kwenye siasa ni kawaida. CHADEMA kwa miaka zaidi ya 10 walituambia lowassa ni fisadi ila ndo wakamteua kuwa mgombea wao wa Urais na kuanza kumsafisha.
Bananga analelewa na mwanamkeAlly Bananga ambaye sasa ni Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar, amejikuta anakula matapishi yake baada ya kuangukia mikononi mwa Makonda. Kumbuka Paul Makonda ni Mwanachama hai na mwaminifu wa CCM Mkoa wa Dar. Pia ni moja ya Watoa Maamuzi.
Bananga alipokuwa CHADEMA, yeye na Mwenzake Boniface Jacob, walikuwa wanamnanga Makonda kwamba ana vyeti feki wakawa wanamuita Bashite Ziro brain.
Hii Dunia ni Duara. Safari hii Bananga amejikuta Makonda ni Boss wake. Aendelee kuongea maneno yake tuone.
View attachment 2717916
Ally Bananga Kushoto akiwa na Makonda huku akikosa wapi afiche sura yake
Ni kweli. Na huyo mwanamke ni wewe Dada Benjamini Netanyahu.Bananga analelewa na mwanamke
Hahahahaha sawaNi kweli. Na huyo mwanamke ni wewe Dada Benjamini Netanyahu.
Kama unaweza kufikiri tu kuwa Makonda anaweza kurudi kwenye duru za siasa za Tanzania basi unahitaji kupima ubongo wako kama una akiliWe ndugu mbona unamshambulia sana.
Huyo mwandishi inaonekama kalipwa kumpa promo Makonda.
Kwahiyo ndio kusema Figganiga kafiliska?Kama unaweza kufikiri tu kuwa Makonda amaweza kurudi kwenye duru za siassa za Tanzania basi unahitaji kupima ubongo wako kama una akili
AnadinywaaaHalafu mbona ana makalio makubwa !.
Eti!Kama unaweza kufikiri tu kuwa Makonda anaweza kurudi kwenye duru za siasa za Tanzania basi unahitaji kupima ubongo wako kama una akili