Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Wengine hupiga selfie na maiti au makaburi,huu uzao wa nyoka bure kabisa mkuu ,maadili yote wameyapeleka shimoni,eti mtu yupo msibani anapiga selfie na kusema kafiwa
 
View attachment 858373
Mchinga generation au G8 mwaka 2005

Kutoka kushoto Khadija Mnoga, Ally Choki, Banza Stone na Muumini Mwinjuma.

Ni mwaka huu aliibuka na nyimbo kama MWAKA WA TABU,KILA CHENYE MWANZO, na NGUZO TANO ZA MAPENZI.
Maisha bhana ! Muumini Mwinjuma siku hizi anakunywa chai ya vitumbua na maharage kwa mama wawili Mtoni Mtongani !
 
Allah amfanyie wepesi
 
Choki alipozungumza na gazeti hili alisema kwamba yeye katika maisha yake hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diana, hivyo haelewi ni kwanini alitajwa.

"Mimi nilikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Lillian Internet ambaye alikuwa rafiki yake, kuna watu ambao mimi nawajua ambao ndiyo hasa wanapaswa kuzungumziwa," alisema Choki huku akiwataja wasanii wawili maarufu lakini wanahifadhiwa na gazeti hili.


Mzee wa farasi alikana mwaka 2010,maradhi hayafichiki jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…