Ally Hapi atatufaa kama Waziri wa Kilimo?

Ally Hapi atatufaa kama Waziri wa Kilimo?

Tena anayelima eneo dogo zaidi ndiye anatufaa zaidi maana anajua changamoto za wakulima wadogo ambao ndiyo wengi. Hivi mlikatazwa kufikiri kimantiki?
Wakulima wadogo wanaweza kulisha nchi, aacha upuuzi na mawazo ya kimaskini, anayelima na kuvuna chini ya hekari 3 ni mazao ya kula yeye na familia yake.
tunataka mtu mwenye maono na siyo akili za mwendokasi za kipapasi kama zako.
Akili za sijui mkulima mdogo ndio mlituletea ma-viongozi hawana exposure wakaanza kuna kile mwenye hela ni mwizi.
shame on you kama una bando na hata kujisomea wengine wanafanyaje hujui.

umaskini siyo sifa ni laana, mlizoeshwa vibaya.
House of Lords huko UK haingii maskini.
Seneta USA hawaingii maskini.
 
Mawazo yetu banaa ......kawatuma hao watu au ? Waziri ni kucheza sera tu....maafisa kilimo wako kibao tu.....kulima yeye ni shufhuli tu acha afanye kilimo sio sababu kupewa uwaziri.....itolee sababu yeye ni mwanasiasa...sio kilimo hicho
 
Wakulima wadogo wanaweza kulisha nchi, aacha upuuzi na mawazo ya kimaskini, anayelima na kuvuna chini ya hekari 3 ni mazao ya kula yeye na familia yake.
tunataka mtu mwenye maono na siyo akili za mwendokasi za kipapasi kama zako.
Akili za sijui mkulima mdogo ndio mlituletea ma-viongozi hawana exposure wakaanza kuna kile mwenye hela ni mwizi.
shame on you kama una bando na hata kujisomea wengine wanafanyaje hujui.

umaskini siyo sifa ni laana, mlizoeshwa vibaya.
House of Lords huko UK haingii maskini.
Seneta USA hawaingii maskini.
Nchi nyingi za Asia zinalishwa na wakulima wadogo. Ukitaka wakulima wadogo wawe wakubwa basi unahitaji kuwa na kiongozi anayefahamu changamoto zao vyema. Mkulima mkubwa mwenye access ya mikopo na mashine atajuaje changamoto za wakulima wa eka mbili tatu?
 
Yupo vizuri ila kutwa tunaona anavuna tu ...yaani hata kama anatumia mashine unaona wiki kapost maandalizi ya shamba baada ya wiki mbili unaona anavuna
 
Nchi nyingi za Asia zinalishwa na wakulima wadogo. Ukitaka wakulima wadogo wawe wakubwa basi unahitaji kuwa na kiongozi anayefahamu changamoto zao vyema. Mkulima mkubwa mwenye access ya mikopo na mashine atajuaje changamoto za wakulima wa eka mbili tatu?
Sipingi na sikatai wakulima wadogo man hata mimi hapa nina kilimo kidogo lakini nakupingeni kuamini siji aliyepitia shida ndio anajua vizuri suala fulani.
 
Hafai kwa lolote

Apambane huko huko kwenye kujiajiri

Tuige mfano mzuri kutoka kwake.

Hapo alipo panatosha kutuongoza tunaopenda kilimo sio matamko na sera zisizoshikika.

Acha afaulu huko ili tupate moyo zaidi wa kukifanya kilimo kwa ustadi wa hali ya juu.
 
Moja ya tatizo kubwa kwenye kilimo ni mawaziri na viongozi kwa ujumla kutojua chochote kuhusu uhalisia wa kilimo. Hili ni tatizo toka uhuru wetu.

Bashe ni mmoja wa mawaziri aliyejitahidi kuleta ubunifu kwenye kilimo, kafanya kaz nzuri lakini amekosa kujua uhalisia wa kilimo. Ndiyo maana anafanya umwagiliaji wa matone.
Sasa kuna huyu mlima pilipili anaitwa Ally Hapi. Jamaa toka ametoka kwenye uongozi anafanya kazi hii. Haina shaka kuwa kufikia sasa anajua uhalisia wa kilimo kwenye nchi hii. Jamaa hawezi kutusaidia kama waziri wa kilimo?

View attachment 2868628View attachment 2868629
WAJINGA MNAZIDI KUONGEZEKA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu tu umeona kapiga picha na nyanya ilula au na pilipili kiroba kimoja basi anafaa kuwa waziri?

Watanzania tuna safari ndefu Sana
Analima sasa unachokaza fuvu ni nn?
 
Moja ya tatizo kubwa kwenye kilimo ni mawaziri na viongozi kwa ujumla kutojua chochote kuhusu uhalisia wa kilimo. Hili ni tatizo toka uhuru wetu.

Bashe ni mmoja wa mawaziri aliyejitahidi kuleta ubunifu kwenye kilimo, kafanya kaz nzuri lakini amekosa kujua uhalisia wa kilimo. Ndiyo maana anafanya umwagiliaji wa matone.
Sasa kuna huyu mlima pilipili anaitwa Ally Hapi. Jamaa toka ametoka kwenye uongozi anafanya kazi hii. Haina shaka kuwa kufikia sasa anajua uhalisia wa kilimo kwenye nchi hii. Jamaa hawezi kutusaidia kama waziri wa kilimo?

View attachment 2868628View attachment 2868629
Hata wewe nyumbani kwenu ukimpa uwaziri inatosha
 
Moja ya tatizo kubwa kwenye kilimo ni mawaziri na viongozi kwa ujumla kutojua chochote kuhusu uhalisia wa kilimo. Hili ni tatizo toka uhuru wetu.

Bashe ni mmoja wa mawaziri aliyejitahidi kuleta ubunifu kwenye kilimo, kafanya kaz nzuri lakini amekosa kujua uhalisia wa kilimo. Ndiyo maana anafanya umwagiliaji wa matone.
Sasa kuna huyu mlima pilipili anaitwa Ally Hapi. Jamaa toka ametoka kwenye uongozi anafanya kazi hii. Haina shaka kuwa kufikia sasa anajua uhalisia wa kilimo kwenye nchi hii. Jamaa hawezi kutusaidia kama waziri wa kilimo?

View attachment 2868628View attachment 2868629
Waziri wa Kilimo ni Maono sio Kila mkulima anaweza kuwa Waziri
 
"Tumelima" kwa maono kwa zaidi ya miaka 60
Miaka yote 60 hakukuwahi tokea Waziri mwenye Maono kama Bashe Wala Rais mwenye utashi wa kukuza kilimo kama Samia.

Ndio maana chini ya uongo wao Kilimo Sasa hivi ni biashara sio kujikimu.Mazingira Bora aliyoweka Bashe na Samia ndio yamempeleka Hapi Shambani.
 
Back
Top Bottom