Ally Hapi: Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa, uteuzi wake ni sahihi

Ally Hapi: Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa, uteuzi wake ni sahihi

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mh. Ally Hapi amenukuliwa kuwa " Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa "

Hapi ameyazungumza hayo akiwa Jijini Dodoma ambapo kunafanyika mkutano mkuu maalumu wa CCM.

Lakini hapo nyuma kwenye utawala wa awamu ya 5, ni Ally Hapi huyu huyu aliyesema wastaafu wanawashwa washwa na mmoja ya wastaafu waliolengwa alikuwa Kinana. Leo hii ameibuka akimsifia.

NB:
Maisha bila unafki hayaendi - Edo Kumwembe

D1385939-CD60-4766-9BCA-24AE31C8EEBD.jpeg
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza
Laiti angekuwa na Akili na anataka kujiweka mbali na Unafiki wake Uliotukuka wa Awali wala asingekubali Kuulizwa Swali hilo la 'Kimtego' na 'Kusanifiwa' na huyo Mwandishi wa Habari badala yake angemkwepa tu au angelikwepa.
 
ma bendera fata upepo yameanza kujifagilia matumbo yao………...
 
Hahaaa hii inaitwa usipempdenda kaja wapi ali bashiru kakurwa
 
Msicheze na biashara ya siasa, ukitafakari kwa kina utajua kuwa Mkulima na Mfanyabiashara ya bidhaa hawa ndy Wenye mbongo zilizotulia!!
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza
Kisi kiko mwake
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mh. Ally Hapi amenukuliwa kuwa " Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa "

Hapi ameyazungumza hayo akiwa Jijini Dodoma ambapo kunafanyika mkutano mkuu maalumu wa CCM.

Lakini hapo nyuma kwenye utawala wa awamu ya 5, ni Ally Hapi huyu huyu aliyesema wastaafu wanawashwa washwa na mmoja ya wastaafu waliolengwa alikuwa Kinana. Leo hii ameibuka akimsifia.

NB:
Maisha bila unafki hayaendi - Edo Kumwembe

View attachment 2171379
Waandishi wa habari wamtafute huyo jamaa aliyeko nyuma yake wazungumze naye anayechungulia, naamini kuna mengi zaidi ya kutujuza!
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza
Recycling ya ccm ni hatari sana
 
Tunaweza kuwa na mawazo fikirika tukachekwa na hawa wanasiasa. Unajuaje baada ya kuongea yale maneno aliwafuata au kuwapigia simu na kuongea na wazee wastaafu akawaambia, "tafadhali wazee msinielewe vibaya, natumikia kafri nipate mradi wangu". Nao wakamjibu "Endelea kijana, na sisi tulipitia huko huko"
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza

PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Huyu mjinga haswa
 
Back
Top Bottom