Ally Hapi: Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa, uteuzi wake ni sahihi

Ally Hapi: Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa, uteuzi wake ni sahihi

Hakuna Adui wala Rafiki wa kudumu kwenye Siasa.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza

PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

HAPI NI MNAFIKI SANA TENA SANA
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza

PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Wanasiasa ni wanafiki sana!
 
Mbona anajibu asichoulizwa 😂😂😂.
Anatamani yale maneno aliowasema wastaafu yarudi kinywani ila ndo ivo sasa, anajifanya mzalendo wa kubumba nyambaf.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.

Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.

"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi

Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.

"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza

PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Hawa ni kuwaondoa hawana jipya ni kufuata upepo.Tanzania tunashindwa kupata watu wenye mawazo yao waliopo ni wa kusifia tu haswa kanda ya Singida
 
Sawa blaza Hapi nakubaliana na hoja- Kinana bila shaka ni jack of trades musimu wa kampeni-fundi bati Kinana, kibarua wa kungolea mpunga Kinana, mwalimu shule ya msingi Kinana..............................
 
Huenda shida sio kwenye utendaji wake wala uongozi wake bali ni makando kando mengine ambayo yalifanya aondoke; Perception kama watu wanadhani (hata kama sio kweli) kwamba ni mpigaji inapelekea kuonekana kwamba CCM ni chama cha Wapigaji yaani majambazi
 
Back
Top Bottom