Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hujapewa kazi ya ulinzi leo hapo CCM?Hapo Rau madukani petrol bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujapewa kazi ya ulinzi leo hapo CCM?Hapo Rau madukani petrol bei gani?
CCM inaenda kufutika kabisa 2025Utaratibu wa zamani ukirudishwa wengi watakuwa wabunge wa term 1
Niwekee lita 5 manka!Hujapewa kazi ya ulinzi leo hapo CCM?
Mpuuzi wewe leo utakunywa bia za January Makamba baada ya kulinda mkutano vizuriNiwekee lita 5 manka!
HAPI NI MNAFIKI SANA TENA SANAMkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.
Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.
"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi
Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.
"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza
PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?
Wanasiasa ni wanafiki sana!Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.
Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.
"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi
Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.
"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza
PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?
Baadhi ya wanasiasa wa Tz wajinga sanaHuyo ni kahaba na fuska kabisa
Hawa ni kuwaondoa hawana jipya ni kufuata upepo.Tanzania tunashindwa kupata watu wenye mawazo yao waliopo ni wa kusifia tu haswa kanda ya SingidaMkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma.
Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya ukumbi wa Jakaya kikwete unakofanyika mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mambo yaliyopita hayana msingi kwa sasa.
"Hakuna ubishi juu ya uwezo wa Mzee Kinana" ameeleza Hapi
Hapi ameeleza kuwa Kinana ni mtu mwenye uwezo, maarifa na uzoefu mkubwa kwenye siasa na ni mwalimu kwa watu wengi kwenye chama hicho.
"Kama vijana ambao tunaendelea kujifunza kwenye siasa za chama mambo ya nyuma nadhani hayana msingi kwa sasa hivi" aliongeza
PIA, Soma=> Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?
Yaani ni mambo ya hovyo kabisaHawa ni kuwaondoa hawana jipya ni kufuata upepo.Tanzania tunashindwa kupata watu wenye mawazo yao waliopo ni wa kusifia tu haswa kanda ya Singida
Kachawa pro maxHaka kachawa kanafiki sana!
Victoire upo?Mfuata upepo. [emoji23][emoji1787]
Ka rafiki kako lakiniHaka kachawa kanafiki sana!
Ccm sote ni ndugu!Ka rafiki kako lakini
Ka shetani chawa kaliko kubuhuSichangii chochote
Nipo,nimejaa tele.Victoire upo?