Kitwala salaam ikawa shidaMzee wa free Wi-Fi kwenye paji la uso.Tulikuambia wewe ,Sabaya,Konda na Kitwala mkashupaza shingo.Tena huyu Kitwala nikikutana nae popote ni mabanzi ndio mambo mengine yatafuata.
Huyo Kenge mjinga sana.Kitwala salaam ikawa shida
Kabisa...hata ndugu Egnecious anakubaliana na hili ?Hiki ni kielelezo ajira za ukuu wa mikoa na wilaya zinafaa kutumika kwa miaka mitano au chini ya hapo, wakishapata mitaji wawekwe wengine nao kujitafutia mitaji yao, na wasiangaliwe wanachama wa CCM pekee.
Acha dharau basi sema mwanao ndio yupo kama mimi.Uko kama mwanangu. Hata ukimpa pocket money anaenda kununua mbegu za mbogamboga.
Sawa Mkuu. Nakubali Marekebisho.Acha dharau basi sema mwanao ndio yupo kama mimi.
Maigizo ya kiki
Anadhani hayo mazao yamepandwa na kuota ndani ya mwezi mmoja.Majungu ya Kichadema
Waambie ukweli hawa mapimbi! Uteuzi!Hamna lolote anatafuta huruma ateuliwe tena, kama Mwigulu alivyofanya kumsifiwa jiwe, baada ya kutumbuliwa na jiwe huyu huyu
SayngayMajungu ya Kichadema
Iga ufe....Nampongeza sana huyo bwana mdogo mimi binafsi kilimo kipo kwenye damu.
Wana pesa hawa hawa watuNajaribu kiwaza kwa sauti ndogo sana! "Inaweza kuwa ni mbinu ya kujificha- "Money Lundering". Vyombo vya dola viliangalie hili jambo kwa jicho la kiintelijensia.