Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sasa muda antenatal wapi wa kushinda shambani aache kushinda ofisini kuhudumia wananchi?Kilimo hadi utimuliwe !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa muda antenatal wapi wa kushinda shambani aache kushinda ofisini kuhudumia wananchi?Kilimo hadi utimuliwe !
Kilimo kipo kwenye damu au unaongozwa na shida za dunia?Kwani kilimo kimekuwa picnic hadi utudanganye unakipenda?Nampongeza sana huyo bwana mdogo mimi binafsi kilimo kipo kwenye damu.
wewe dada nakuonaga bonge la CHAWA ila leo nimeongea pointKilimo hadi utimuliwe !
Kama wenye shida pekee ndio wangekua wanalima basi ingetulazimu binadamu wote tuwe Mbu au Mbung'o.Kilimo kipo kwenye damu au unaongozwa na shida za dunia?Kwani kilimo kimekuwa picnic hadi utudanganye unakipenda?
Kilimo chake na changu tofauti mimi nipo kwenye mpunga.Iga ufe....
Mwenzako alishajipanga kifedha nk
Sasa kama wewe una hela yako ya kuungaunga usiende kulima
Ova
Kazana kwenye kilimo mkuu.Kama mnataka mali mtayapata shambani.Kama wenye shida pekee ndio wangekua wanalima basi ingetulazimu binadamu wote tuwe Mbu au Mbung'o.
Mimi kabla sijamjua huyo Mwagito tayari nilikuwa kwenye mfumo wa kilimo na kusema ukweli siwezi kuacha.Kazana kwenye kilimo mkuu.Kama mnataka mali mtayapata shambani.
Kitwala Ni yupi embu rahisisha hi codeMzee wa free Wi-Fi kwenye paji la uso.Tulikuambia wewe ,Sabaya,Konda na Kitwala mkashupaza shingo.Tena huyu Kitwala nikikutana nae popote ni mabanzi ndio mambo mengine yatafuata.
Unalima kweli mashamba makubwa kama ya al marhum mzee Mwamwindi au unajikongoja kwenye vinyungu mkuu?Hata hivyo,chapa kazi!Mimi kabla sijamjua huyo Mwagito tayari nilikuwa kwenye mfumo wa kilimo na kusema ukweli siwezi kuacha.
Hpn ujinga gani huu s rushwa na Kaz azitafanyikaaa Kwanzaa kwa kuwa kila mtu atafikiriaa mambo yake na kula rushwa kwa wingi wakijuwa kuwa wanakwenda kupoteza ajira zao hvyo Ni kwmab siondolewe kbsa kbsa. Tuwe na mkurugenzi ,das ,afsa tawala kwishaHiki ni kielelezo ajira za ukuu wa mikoa na wilaya zinafaa kutumika kwa miaka mitano au chini ya hapo, wakishapata mitaji wawekwe wengine nao kujitafutia mitaji yao, na wasiangaliwe wanachama wa CCM pekee.
Ninkweli kbsaa mpuuzi tuHamna lolote anatafuta huruma ateuliwe tena, kama Mwigulu alivyofanya kumsifiwa jiwe, baada ya kutumbuliwa na jiwe huyu huyu
Hahahaa bado sijafika level za kina Saidi Mwamwindi ila Mungu akijalia nitatoboa tu tatizo huku Kaskazini huwezi kupata mashamba makubwa.Unalima kweli mashamba makubwa kama ya al marhum mzee Mwamwindi au unajikongoja kwenye vinyungu mkuu?Hata hivyo,chapa kazi!
Fedha inatakatishwaMbona kama naona kama kuna harufu ya ufuaji wa fedha unabuniwa?,au akili yangu tu mbovu?.
Kitwala alikua mkuu wa wilaya ya Tabora nlishafanya nae kazi fulani.Alishamtia mtu ndani kisa kachelewesha chips,alishamuweka ndani jamaa kisa birthday .Kitwala Ni yupi embu rahisisha hi code
All in all ni kwamba jamaa Ni mpuuzi tu Kwanza anatumia pesa alizoziiba serekali I pmj na kula rushwa kuja kuekezaa hapa
Uko sahihi Mbowe na Mbatia Kule ni kwao lakini wamekimbilia Dar es salaam ndiko wanaishiIringa panalipa sana tofauti na Kilimanjaro
Safii"Niko shambani nalima.Tunamshukuru Mama (Mhe. Rais) na serikali ya CCM kuipa msukumo sekta ya kilimo. Mbolea ya ruzuku na mazingira rafiki ya kilimo vimetupa nguvu zaidi ya kupambana. Kazi inaendelea."__ Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara Ally Hapi
View attachment 2399830
Hivi kuwa mkulima kumbe ni laana?Kilio cha aliowanyanyasa alivyoingia ukuu wa wilaya ya kndoni .laana inamtafuna.