Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Nilipomsikia AG mstaafu Jaji Werema anakumbushia alivyoitwa mwizi nikajua kuna jambo lilo njiani

Huwezi kumwita mwizi mteule wa Rais ukabaki salama

Happi naye hakuijua nguvu ya Joka la Mdimu alidhani ni Joka la Makengeza

Poleni sana akina Halima Mdee
 
Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.

Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Hii mbusi ali happy ilikuwa na nyodo sana. Na tumbili sasa ataishi kwa mshahara haramu wa nkewe. Kudadadeq walahi!!!!

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom