Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

... mbona humu kumekuwa na threads nyingi zikimtukuza sana Kafulila kwa "maajabu" kama RC hadi Simiyu ikaongoza kwa mapato 2021/2022? Au ilikuwa ni id yake mwenyewe? Can't believe that!
Umesahau alichokifanya Jambazi Sabaya? Waandishi wengi ni "mayala" kwahio ukiwapa pesa kidoogo tu wanaweza kuandika vile unataka
 
... mbona humu kumekuwa na threads nyingi zikimtukuza sana Kafulila kwa "maajabu" kama RC hadi Simiyu ikaongoza kwa mapato 2021/2022? Au ilikuwa ni id yake mwenyewe? Can't believe that!
Hizo threads zilikuwa za chawa wake akiamini walikuwa wanasafishia njia na nafasi kubwa zaidi kumbe ndiyo walikuwa wanamharibia.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom