Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Anaweza bebwa na diniAli Hapi alishaonywa na mama walau, Kafulila alikuwa on fire sana. Duh maisha haya ni mitihani sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza bebwa na diniAli Hapi alishaonywa na mama walau, Kafulila alikuwa on fire sana. Duh maisha haya ni mitihani sana
Hasa kule kwe makatibu Tawala....Ni k'nyama tupu.Mkeka umejaa ' watoto wa kijitonyama'
karibu tena Chalamila
Karibuni tena kina Halima Dendegu na Fatma Mwasa ma RC wa zamani mlioongoza harakati bora kabisa za uchaguzi wa 2015
Nyota yake ya mikosiIla tumbili kama kaonewa hivii
Wewe umefurahi kwa lipi?Mama Yao kawapiga chini
Ili iweje ukishajua??Wewe umefurahi kwa lipi?
Ni kumchampia tu kwa sasa.Ana wake wanne?
Ally Happy alitangaza live kuwa atamzaba makofi JK na wastaafu wote wenye mdomo.Aly happi it was just a matter of time, aliwatukana akina kinana, Makamba, kikwete lazma alikuwa aliwe kichwa
Mshahara wa ukuu wa mkoa ulimvuruga 😂... kijana mdogo kama yule anakuwaje na wake wanne kwa umri ule?
Kweli makobazi yanaweza kumbeba.Anaweza bebwa na dini
Kumbe samia ni chadema.Mleta mada lazima atakua ni mchaga, na mfuasi wa Chadema, lazima.
Tupia hapa hizo nukuuAlly Happy alitangaza live kuwa atamzaba makofi JK na wastaafu wote wenye mdomo.
MaraNaona aibu kuuliza Ali Hapi alikuwa mkuu wa mkoa wa wapi?