Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Mpumbavu yule..... Aendelee kuchambua uchumi na madeni ya taifa sasa akiwa uani kafukuzwa mezani sebuleni.
Chuki Chuki Chuki, upumbavu wake ni upi!!?? Kuanguka kwa Kafulila siyo kuinuka kwako, pambana upate pesa uache kuwachukia waliofanikiwa. Kwa taarifa yako Kafu anapandishwa juu zaidi ya alipokuwa...subiri.
 
Aly happi it was just a matter of time, aliwatukana akina kinana, Makamba, kikwete lazma alikuwa aliwe kichwa
Wote waliowahi kusema mabaya kuhusu serikali ya Kikwete lazima waende na maji. Kafulila alisisitiza zile pesa zilikuwa za serikali wakati Kikweye akiutangazia umma ni za kina Singasinga, ulitarajia apone awamu hii ya 6? Bado wengine watafuata. Kumbuka Makamba alisema serikali na CCM vimerudi kwa wenyewe
 
Tayari makobazi kaja kupangua hoja. 😁😁 ko kila aliye na mmoja anao wa haramu? Au kila aliye na wa4 hana wa haramu? Mambo mengine bhana!! DINI HIZI ni nzuri ila wapokeaji wengi ni mapunguani.

Usome uisilamu uujue,
Na hapo bado peponi wake 100 mabikira.... Pambafu

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app

Mnatia huruma sana, mnaongea vitu msivyovijua, usomeni uislamu muujue
 
Back
Top Bottom