Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Chalamila tena? Hivi huyu mama yuko serious kwl? Mtu alionesha kumdharau waziwazi leo atafanya naye kazi vp tena. Yule ni mfia Magu haamini km amekufa.

Na anaamini Samia alishiriki ktk mpango wa kufa kwake. Huyu mama simwelewi. Anabadilisha hawa viongozi km anavyobdili nguo au anatafuta nini. Kwl madaraka ya Rais ni makubwa sana anacheza anavyotaka.
Hapana. Nadhani ''wanasiasa'' (isomeke wachumia tumbo) wamekuchanganya kiasi cha kifikiria mambo ya kufikirika. Chalamila ni kama roboti linaloishi na liko tayari kufanya chochote ili tu mkono uende kinywani. Hakuwa na siyo ''mfia Magu'' kama unavyodhani bali ni mchumia tumbo anayejitoa ufahamu kuropoka chochote ili tu aonekane na waliomteua. Na CCM ndiyo inapenda wajinga kama hawa.
 
Mkeka umejaa ' watoto wa kijitonyama'

karibu tena Chalamila

Karibuni tena kina Halima Dendegu na Fatma Mwasa ma RC wa zamani mlioongoza harakati bora kabisa za uchaguzi wa 2015
Wateule wa mtu fulani wanarudi madarakani kwa kasi kubwa sana
 
Wake 4. Mbona haraka sana imekuwa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
kosa kubwa alilifanya huyu maza ni kuendelea kumuendekeza uyo dogo. ni dogo mjinga kabisa.hana adabu hata kwa watu wazima. madaraka yaliwalevya sana.
 
Huyo Hapi hata hivyo dini yake ndio imemfanya abakie hapo hadi leo kwa kauli yake aliyoitoa dhidi ya wastaafu wakati wa dikteta Magufuli.

Hata hivyo hatuna kabisa sababu ya kuwa na wakuu wa mikoa na wilaya wanaoteuliwa kwa hisani ya mtu kwani hata haijulikani watu hawa wanafanya kazi gani zenye manufaa kwa nchi.

Ni vibaraka tu wa anayewateua na huwatumia kuendeleza utawala wake ambao pia utakuta hao hao ndio wamamsaidia kuupata kupitia kile wanachoita "Uchaguzi."

Kwenye katiba mpya inatakiwa tuwe na wakuu wa mikoa watakaochaguliwa moja kwa moja na wananchi na wasifungamane na chama chochote cha siasa ila wakuu wa wilaya wasiwepo shughuli za utawala katika wilaya zifanywe na maafisa wengine wa utawala baada ya kufanyiwa vetting na tume ya utumishi. That's my view.
 
Tumehalalishiwa kuoa wake wa4, hivyo ni heri yake yeye mwenye wa4 kuliko kuchukua manawake hovyo na kuishinao kiharamu.
Tayari makobazi kaja kupangua hoja. 😁😁 ko kila aliye na mmoja anao wa haramu? Au kila aliye na wa4 hana wa haramu? Mambo mengine bhana!! DINI HIZI ni nzuri ila wapokeaji wengi ni mapunguani.
 
Sio jambo la kudhangaza sanaaa maana ndio maagizo ya Allah aliyo tuachia na waumin hatuna budi kutekeleza na kuiga
Hivi kwel Mungu ni mmoja na ndo aliagiza haya ya mmoja mara wa4!! 😂😂😂 imani ni fikirishi sana.
 
Yule shetani acha atukanwe tu, kila mwenye akili timamu lazima amlaani bwana yule
Shetani siku hizi ni wengi sana. Kumbe ile kusema shetani kanipitia ilikuwa ni sawa na kusema magufuli kanipitia 😁😂😂
 
Back
Top Bottom