hapa kilichofanywa ni kiini macho huyu Allya Happy kapita na maji tu kwasababu ya kinana ila haikuwa lengo kamili waliokuwa kwenye malengo hapa yalikuwa ni kuwatoa watu Fulani! Ally Happy kafiamo halafu kutupisha watu mbao wasijue kinachoendelea Chalamila karudishwa chezea Msonga [emoji16]
1-Stephan kigaigai -Kilimajaro
2-David kafulila -Simiyu
3-Robart Gabreal -Mwanza
4-Marco Gaguta -Mtwara
5-Wilbert Ibuge-Ruvuma
6-Charles Bunge-Kagera
7-Bilinith Nahenge-Singida
8-Joseph mkirikiti - Rukwa
9-All Happy -Mara
[emoji23][emoji23][emoji23] Nilisema mkaniita mchochezi haya [emoji847]