Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Sijui ni nini hatujaelewa mpaka leo!
Mnafurahia tena?
Hawa hawajatumbuliwa watapewa kazi nyingine kwa kodi zenu..
ccm ni moto ulio ndani ya msitu
Huku kuhamisha kubadilsha kunaumiza walipa kodi… Hivi kwa nini mnakosa kuwa na huruma enyi ccm!
Ubadhilifu wa pesa za walipa kodi

Tuandike Katiba Mpya ni sasa. Madaraka ya mtu mmoja yamekuwa makubwa mno….
Upinzani wapo wapo tu
Zaidi ya Heche hakuna mwingine
Wengine wote wababaishaji tu
Next strong leader John Heche ( Mungu azidi kukutunza)
 
Nimekupata mdau ila hapo kwenye wake wanne umeniacha, ni kweli?
 
Na huyo Kafulila ndio zilikuwa zake. Yaani waandishi karibu wote pale Simiyu walikuwa kwenye payroll yake, basi ni kumsifu kila mahali hadi unasema hakuna kama yeye
Halafu akaliwa kichwa..[emoji23]
 
Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.

Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Kafulila na hapi wote ni akili ndogo wakitimuliwa nisawa kabisa kwanza walicheleweshwa sana mama aliwavumilia
 
Happi ni moja ya wanasiasa wa hovyo sana,hakujua kucheza mchezo wa karata tatu,hakujua kucheza mchezo na watoto wa mjini,alijua Godfather wake ni mmoja tu na Bahati mbaya Godfather akatoweka!

Angalia michezo anayocheza Hussein Bashe, Godfather wake ni Lowasa na Rostam,Bashe aliwahi mtukana Kikwete, Bashe aliwahi tishiwa Uraia wake na kina Makamba,Ridhwan na Kikwete mwenyewe,lakini Masha akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani alimuokoa! Hadi sasa hivi anadunda,pale New Habari Cooperation wanamjua mishe zake!

Napata wasiwasi tu,kwa Bwana Ngusa Samike kutua Lindi kama RAS,Mzee wa Nandagara ukute kapewa Ngusa either atapishwe ile post, Mzee wa Nishati,alambe shavu!
 
Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.

Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Kafulila kujiunga na ACT
 
Back
Top Bottom