Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.

Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Kafulila unajua anaenda wapi?
 
Nimeona mkeka wa wakuu wa mikoa umetoka jina la aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara Ali Hapi limekuwa gumzo na watu kuoneka wamefurahi sana.

Niwaombe tuwe na akiba ya maneno kwani CCM ni watu wa kulindana na kubebana nadhani mmejionea kwa Albert Chalamila kurudi mzigoni pamoja na kingai (mzee wa mbowe ni Gaidi wa kuchoma sheli).

Kwa hiyo hizo teuzi zikitoka muache viherehere.

Nje ya mada;Iringa vijijini Kising'a Mungu anawaona na mkeka wenu wa mchongo wa makarani mlioutoa leo how come hao walimu no usaili lakini wamepita hafu majobless(upstars) mmetukata kichwa?
 
🩲
 

Attachments

  • 20220728_082224.jpg
    20220728_082224.jpg
    36 KB · Views: 5
Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.

Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Kafulila mwezi huu wa Sita na wa Saba amepost nyuzi nyingi sana za kumsifia Mama nadhani alikuwa anajihami.
 
Back
Top Bottom