Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ana wake wanne?Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Mama Yao kawapiga chiniImekuwaje?
Ali Hapi alishaonywa na mama walau, Kafulila alikuwa on fire sana. Duh maisha haya ni mitihani sanaKaribuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Wema ni akiba na Ubaya ni akibaAli Hapi alishaonywa na mama walau, Kafulila alikuwa on fire sana. Duh maisha haya ni mitihani sana
Bahati mbaya sana there's no way anaweza rudisha muda ayafute maneno yake....Aly happi it was just a matter of time, aliwatukana akina kinana, Makamba, kikwete lazma alikuwa aliwe kichwa
KabisaaaBahati mbaya sana there's no way anaweza rudisha muda ayafute maneno yake....
Sio kweli kabisaIla tumbili kama kaonewa hivii
Hii mbusi ali happy ilikuwa na nyodo sana. Na tumbili sasa ataishi kwa mshahara haramu wa nkewe. Kudadadeq walahi!!!!Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Heri yake mwenye wake wanne kuliko mwenye michepuko mnne ha ha [emoji23] [emoji38]Ana wake wanne?
... mbona humu kumekuwa na threads nyingi zikimtukuza sana Kafulila kwa "maajabu" kama RC hadi Simiyu ikaongoza kwa mapato 2021/2022? Au ilikuwa ni id yake mwenyewe? Can't believe that!Mama Yao kawapiga chini
MUNGU Fundi daadekiHii mbusi ali happy ilikuwa na nyodo sana. Na tumbili sasa ataishi kwa mshahara haramu wa nkewe. Kudadadeq walahi!!!!
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
πππIla tumbili kama kaonewa hivii
Tukivumiliana walau kwa wiki 2 utawasikia kwenye teuzi nyingine.Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
... kijana mdogo kama yule anakuwaje na wake wanne kwa umri ule?Heri yake mwenye wake wanne kuliko mwenye michepuko mnne ha ha [emoji23] [emoji38]