OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Akiwa mkoani Iringa, Ali Hapi alimjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kufuatia kauli yake ya kuwa Rais Samia hana haki ya kutoa maamuzi ya kinachoendelea bara kwa kuwa yeye ni Mzanzibar.
Hapi alidokeza kwamba kwa kuwa mchakato wa kuhalalisha mfumo wa vyama vingi pamoja na mapinduzi ya kiuchumi yaani Ubepari yaliletwa na Rais Mwinyi ambaye ni Mzanzibar, je CHADEMA haina haki ya kuwepo kwa sababu aliyeleta mapinduzi ni Mzanzibar.
Aidha Hapi alihoji pia kuhusu ubadhirifu na mgogoro unaoendelea ndani ya chama cha CHADEMA ambapo alidokeza kuwa iwapo chama hicho kimeshindwa kujiendesha kwa amani ndani, je kitaweza kuongoza nchi?
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Hapi alidokeza kwamba kwa kuwa mchakato wa kuhalalisha mfumo wa vyama vingi pamoja na mapinduzi ya kiuchumi yaani Ubepari yaliletwa na Rais Mwinyi ambaye ni Mzanzibar, je CHADEMA haina haki ya kuwepo kwa sababu aliyeleta mapinduzi ni Mzanzibar.
Aidha Hapi alihoji pia kuhusu ubadhirifu na mgogoro unaoendelea ndani ya chama cha CHADEMA ambapo alidokeza kuwa iwapo chama hicho kimeshindwa kujiendesha kwa amani ndani, je kitaweza kuongoza nchi?
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?