Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Sumu Nzito Yaani, Mpaka Viziwi Wamesikia Kuhusu MuunganoLissu ameacha Sumu kali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumu Nzito Yaani, Mpaka Viziwi Wamesikia Kuhusu MuunganoLissu ameacha Sumu kali sana
View: https://youtu.be/86vSal-Mwkc?si=QMUDUEam0cbA4C44
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?

Ccm wenyewe ndo kwenye hilo kundiLissu hawezi kujibiwa na hao vilaza kwa sababu huwa anaongea ukweli. Katika hadhira ya watu timamu ni HAIWEZEKANI kuufanya uongo uushinde ukweli. Wanaoweza kuhadaika na hawa ngumbaru ni wale watz wakujiita wanyonge ambao wao hata wakiona rangi ya kijani tu mashetani yanawapanda hawahitaji reasoning.
Tuendelee tu kuwapa airtime ili wauanike vyema ubogus wao.
View: https://youtu.be/86vSal-Mwkc?si=QMUDUEam0cbA4C44
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?
NAWEWE ,kwamba unafurahia eti mzee mwinyi alianzisha mfumo wa vyama vingi ,kweli?HAPPI IS VERY GOOD HAKIKA, and this is modern politics we want, hakuna kufall into puppets traps![]()
Kwa hiyo hapo kafanyaje? Hajamjibu?Amjibu ili iweje?
Mtu ana kichwa kibovu na hana adabu unajibishana naye?
Karejea tu kauliKwa hiyo hapo kafanyaje? Hajamjibu?
Karejea tu kauliKwa hiyo hapo kafanyaje? Hajamjibu?
sifurahishwi na mwanasiasa mwepesi ambae anafall kirahisi kwenye trap za mshindani wakeNAWEWE ,kwamba unafurahia eti mzee mwinyi alianzisha mfumo wa vyama vingi ,kweli?
Au ni msukumu wa uchumi Duniani baada ya ujamaa uchwara kufeli nchini na duniani

Kuna tetesi zinasema kuwa wale viongozi wa dini waliopiga dili la kuingiza sukari wameomba wasitwaje hadharani, viongozi wengi wamemsihi LISSU asifanye hivyoLissu hawezi kujibiwa na hao vilaza kwa sababu huwa anaongea ukweli. Katika hadhira ya watu timamu ni HAIWEZEKANI kuufanya uongo uushinde ukweli. Wanaoweza kuhadaika na hawa ngumbaru ni wale watz wakujiita wanyonge ambao wao hata wakiona rangi ya kijani tu mashetani yanawapanda hawahitaji reasoning.
Tuendelee tu kuwapa airtime ili wauanike vyema ubogus wao.
Acha kupanick boss.Amjibu ili iweje?
Mtu ana kichwa kibovu na hana adabu unajibishana naye?
Juma kasim kirobotoAlisikika mwanamuziki mmoja akiimba migambo wanaruka na kukanyagana
Lissu ni pasua kichwaKuna mtu kaniuliza 'Hivi nasikia Tundu Lissu kila mahali kulikoni'?
Alikuwa hajui , nikamfahamisha.
Haya tuimbe pamoja 🎶 migambo inaruka na kukanyagana inaruka kinyama × 2Juma kasim kiroboto