Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtu.be/86vSal-Mwkc?si=QMUDUEam0cbA4C44
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?
Mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuna maswali hayana majibu, ndo hayo ya Lissu. Ukikukuruka kujibu unajitangazia ujinga wako tu!!Majibu yanahitaji watu weledi sana wengi wao wanapiga porojo tu
Kumiliki ardhi Zanzibar ni kumaliza kazi ya uvamizi wa Nyerere. Ingalikuwa kuna muungano Nyerere asingalileta jeshi na kuuwa zaidi ya watu elfu kumi na kila uchaguzi kuuwa watu katika jitihada Za kuweka vibaraka wakeHuyu naye IQ ndogo sana, badala ya kujibu hoja za msingi za umiliki ardhi zanzibar kwa wabara au mgawanyo wa majimbo ulivyo unfair bara na visiwani anakimbilia kuongelea watu kuvaa ngozi!! irrelevant reply.
Hoja zinajibika sana tu isipokuwa kuzijibu ukubali kujilipua kwani Hakuna Muungano ni uvamizi na Nyerere ndiye kinaraMwalimu wangu aliwahi kuniambia kuna maswali hayana majibu, ndo hayo ya Lissu. Ukikuruka kujibu unajitangazia ujinga wako tu!!
Mi nilichoona zaidi ni suala la bunge moja kuwa la wao peke yao na jingine letu sote na wao wakiwemo kitu ambacho si sahihi, yaani kimsingi ilipaswa kuwe na mabunge matatu, mawili ya wawakilishi wa nchi mbili za muungano na bunge moja la muungano, sababu katika wakati hoja za kuhusu ishu binafsi za bara zikijadiliwa bungeni na wao wamo na wanajadili na labda kuvuruga mijadala kwa kuleta mawazo hasi kwa kuwa hawana maslahi na bara ila katika bunge la kuhusu ishu binafsi za visiwani wabara hawamo!!!hii si haki.
Huu ni ukweli mchungu hoja za Lissu hazijibiki hata uwe umesoma Harvard!! Haki haipo hata ulazimishe kwa mtutu!!
Kumiliki ardhi Zanzibar ni kumaliza kazi ya uvamizi wa Nyerere. Ingalikuwa kuna muungano Nyerere asingalileta jeshi na kuuwa zaidi ya watu elfu kumi na kila uchaguzi kuuwa watu katika jitihada Za kuweka vibaraka wake
Hebu nawewe zijibu hoja tukusikie labda utamshinda yule jamaa wa bush noma sana ambae bosi wake ni DJ mlevi form four failure aliepigwa vibaya na mchepuko Joyce kule Dom na kusingizia majambawazi!!Hoja zinajibika sana tu isipokuwa kuzijibu ukubali kujilipua kwani Hakuna Muungano ni uvamizi na Nyerere ndiye kinara
Uvamizi gani wakati hadi Rais wa bara ni mzanzibari, mpewe nini tena? In fact mpaka Bagamoyo kuna ardhi inamilikiwa na SMZ ila not vice versa same to wapemba wamejazana bara huku wananunua mashamba, ardhi na kumiliki biashara ila sisi kule ni kama wageni tu haturuhusiwi kuwa na ownership ya land!! Ndio muungano gani huu?Kumiliki ardhi Zanzibar ni kumaliza kazi ya uvamizi wa Nyerere. Ingalikuwa kuna muungano Nyerere asingalileta jeshi na kuuwa zaidi ya watu elfu kumi na kila uchaguzi kuuwa watu katika jitihada Za kuweka vibaraka wake
Raisi huyo mlimweka wenyewe, Nani kamchagua?Si Katiba yenu mliyoitunga na nguvu Za dola Za Magufuli ndio zilizomfanya awepo hapo ?Uvamizi gani wakati hadi Rais wa bara ni mzanzibari, mpewe nini tena? In fact mpaka Bagamoyo kuna ardhi inamilikiwa na SMZ ila not vice versa same to wapemba wamejazana bara huku wananunua mashamba, ardhi na kumiliki biashara ila sisi kule ni kama wageni tu haturuhusiwi kuwa na ownership ya land!! Ndio muungano gani huu?
Nasema hivi, Tanganyika lazima irudi kwanza ndio tujadili muungano its better serikali 1 au 3 sio huu ujinga wa serikali mbili ambayo upande mmoja unafaidika hauna maana.
View: https://youtu.be/86vSal-Mwkc?si=QMUDUEam0cbA4C44
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?
View: https://youtu.be/86vSal-Mwkc?si=QMUDUEam0cbA4C44
My Take
Tuhitimishe au tuendelee kuwasubiri wengine?