Ally Kamwe arudishwa kwenye nafasi yake kama kawaida

Ally Kamwe arudishwa kwenye nafasi yake kama kawaida

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Post aliyoweka jana akiaga mashabiki kaifuta kwenye ukurasa wake, je ni kweli kaondoka tena au ni kiki tu za michezo ila alikuwa amemaliza mkataba wake na hivyo kuongezewa mkataba mwingine?

Zaidi soma: Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

====

Rais wa Yanga Eng. Hersi na Makamu wake Arafat Haji wamefanikiwa kumrejesha kazini Ally Kamwe kwenye nafasi yake ya Meneja Habari na Mawasiliano na Tayari amesaini Mkataba Mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo.

Kamwe alieleza changamoto zake kwa viongozi zilizompelekea kuchukua uamuzi wa kujiuzulu mbele ya Uongozi na kwa maslahi ya pande zote mbili wamekubaliana kuzifanyia kazi.

1722241752831.png
 
Kuna jambo haujalielewa vyema,Haji ni msemaji wa yanga,wakati kamwe ni meneja habari na mawasiliano.
Sisi hatutaki Haji aseme kwa niaba yetu...Yanga hii haina uswahili swahilo tena. Siku Magoma akiwa Mwenyekiti wa Yanga basi Haji awe Msemaji na hapo sisi washabiki tunaojielewa tutakuwa tumeshatafuta timu nyingine ya kushabikia
 

Rais wa Yanga Eng. Hersi na Makamu wake Arafat Haji wamefanikiwa kumrejesha kazini Ally Kamwe kwenye nafasi yake ya Meneja Habari na Mawasiliano na Tayari amesaini Mkataba Mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo.​

Kamwe alieleza changamoto zake kwa viongozi zilizompelekea kuchukua uamuzi wa kujiuzulu mbele ya Uongozi na kwa maslahi ya pande zote mbili wamekubaliana kuzifanyia kazi.​


View attachment 3055957
Nguvu moya
 
Back
Top Bottom