Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Huu uhuni lazima ukomeshwe. Ilianza na RC wa Mwanza (ambaye ni Yanga lia lia kabisa) kuizuia Simba pale CCM Kirumba ilipokuwa inajiandaa dhidi ya Pamba FC. Simba ulipotezea, sasa naona wanataka kuchonga mzinga. Pumbavu sana Uto!