Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Upumbavu huu.Yeye ni kiongozi hapaswi kuleta matusi kwa watu alete utani kwa timu.
Angesema kolo na andazi hakuna mtu angemlaumu.
Hata Hilo la kolo alisema likiwa la pili, alipotaka kuvunga kuongea la 3 (tayari tangu mwanzo alikuwa amewambia mashaabiki zake kuwa ana vitu 3) mashaabiki wakamkumbusha namba 3, ndiyo akataja Mgunda na andazi. Clip yake imetapakaa mitandao kibao.
 
Mkuu 0-10, Amekosea Ally kamwe. usitete tabia isiokuwa ya kiungwana Ukielekeza utani Simba sc ni tofauti kabisa na na kutaja jina la Mtu moja kwa moja.
Mfano. ule wimbo wa CCM na andazi, badala ya andazi angeweka jina la
kiranja Mkuu. ingetokea nini Mkuu 0-10,
Well said, Kuna mtoto mmoja humu naye nilimwambia exactly km ulivyosema kuwa kumtaja mtu specifically ni tofauti na kutaja kundi la wat kwa ujumla wake, nikampa hadi mifano. Lakini kanipandia kwa lugha za kejeli eti hizo ni hasira za kushindwa kupata vikombe ndiyo maana tunalikuza. Nilimuuliza swali "km baba yako ndiyo angelinganishwa na andazi ungejiskiaj", hakujibu. Nikamwambia abaki hapo anaposimamia mimi staki ligi.
 
Kawaida tu walisema wakasema watasema kesho Yanga inashinda kwa kishindo Mgunda atulie kwanza tushinde tuchukue ubingwa ndio aanze kuongea, huu ni utani tu eeh kutaniana ni jadi yetu hata tukiwa nyumba moja tunashabikia timu tofauti tunataniana kawaida tu sio suala baya Ila watu wanakuza Mambo kijinga
This is personal attacks sasa tukiendekeza hii hali tunatengeneza chuki ambayo haina maana yoyote.
 
Aly ameomba radhi , amejua kama amekosea na atamuomba radhi kadri siku zinavyoenda mbele.

Lakini sasa ajenda itabadilika na kumshambulia Aly Kamwe .

Tunakula kakisea lakini kaomba asamehewe kuna binadamu ambaye hafanyi makosa?

Naomba Tu Kesho yanga tushinde kwa sababu tukifungwa watu wataanza kusema ni laana za Mgunda na Aly atakuwa kwenye kikaango kikubwa Sana.

Kila la kheri YANGA , Muungwana akivuliwa nguo huchutama Aly kachutama kesi iishe.
basi tuelekeze dua sasa yanga ifungwe leo ili ku-balance story
 
Taratibu huku ni jamii sports maana hpo nikisema nihoji tu hao kina takadiri, sopu na prezoo ni kinanani hao! uzi utanuka nya huu na ninvyokujua ww kw mambo hzi ni mchmbuzi mzuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeachaaaa!!!!
 
Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.

Hi kauli ni kubwa sana ukikaa ukiitafakari kwa makini
Akili imkae kichwaniii sasa huyo Ali.
 
Kawaida tu walisema wakasema watasema kesho Yanga inashinda kwa kishindo Mgunda atulie kwanza tushinde tuchukue ubingwa ndio aanze kuongea, huu ni utani tu eeh kutaniana ni jadi yetu hata tukiwa nyumba moja tunashabikia timu tofauti tunataniana kawaida tu sio suala baya Ila watu wanakuza Mambo kijinga
Ko hapo nyumbani kwako unaweza sema baba na andazi nachagua andazi, kisa yuko team tofauti na wee???
 
Hii nayo ina ukweli?!
IMG-20230528-WA0020.jpg
 
Hata Hilo la kolo alisema likiwa la pili, alipotaka kuvunga kuongea la 3 (tayari tangu mwanzo alikuwa amewambia mashaabiki zake kuwa ana vitu 3) mashaabiki wakamkumbusha namba 3, ndiyo akataja Mgunda na andazi. Clip yake imetapakaa mitandao kibao.
Sasa hii ya Mgunda aliidhamiria binafsi, km akishataja Kolo, iweje amtaje mgunda personal?

Huoni ni personal attacks??
 
Back
Top Bottom