Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebana ee 🤔😳😎Aliwe mara ngapiiii
Naomba Tu Kesho yanga tushinde kwa sababu tukifungwa watu wataanza kusema ni laana za Mgunda na Aly atakuwa kwenye kikaango kikubwa Sana.
Dah...ndio tushafungwa kaka😭Aly ameomba radhi , amejua kama amekosea na atamuomba radhi kadri siku zinavyoenda mbele.
Lakini sasa ajenda itabadilika na kumshambulia Aly Kamwe .
Tunakula kakisea lakini kaomba asamehewe kuna binadamu ambaye hafanyi makosa?
Naomba Tu Kesho yanga tushinde kwa sababu tukifungwa watu wataanza kusema ni laana za Mgunda na Aly atakuwa kwenye kikaango kikubwa Sana.
Kila la kheri YANGA , Muungwana akivuliwa nguo huchutama Aly kachutama kesi iishe.
Na ushahidii juu.unauhakika
NnEbana ee [emoji848][emoji15][emoji41]
Ally kachutama kwa shughuli nyingine lakini siyo ya MgundaNaomba Tu Kesho yanga tushinde kwa sababu tukifungwa watu wataanza kusema ni laana za Mgunda na Aly atakuwa kwenye kikaango kikubwa Sana.
Kila la kheri YANGA , Muungwana akivuliwa nguo huchutama Aly kachutama kesi iiiishe.K
aisee hali ni mbayaNa ushahidii juu.
Ndo hivyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee hali ni mbaya