lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Huyu mtu tangu ameanza kuongea alikuwa haongei na kiti..ngoja afanye hivyo mpinzani..Tulia alikuwepo?Sipati picha maneno hayo angeyatamka Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu tangu ameanza kuongea alikuwa haongei na kiti..ngoja afanye hivyo mpinzani..Tulia alikuwepo?Sipati picha maneno hayo angeyatamka Lissu.
Hahahaha,Allen snr nawaangalia kwanzaZanzibar Spices Kuna Thread huku eti mtatawaliwa na Tanganyika milele? sijaona Comment yako Unakwepa Uzi taangu Jana.
Duuuu hii Kali sasa mbona rahaaaa priiiiiiiiiiiiiNakumbuka aliwahi kusema kwamba unaweza kuwaita wazanzibari wote kwa filimbi na wakasikia.
Usiwahukumu kwa ujumla CCM. Uccm ni tofauti na Mccm. Sijui utaelewa tena!And what exactly do you mean? Kwamba maCCM waliikataa rasimu ya Katiba iliyotokana na Tume ya Jaji Warioba is fallacy? What is fallacy?
Ndo maana yakeSasa hivo vijembe anawapa CCM wenzake au?
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sanana madhara yake ni makubwa mno.Oneni siasa ilivyokua mbaya.Kessy akiwashambulia Zanzibar kwa maneno makali kambi yake wanamshangilia.Hao wanao mshangilia Kessy ndio wanasema ooo muungano ulindwe kwa gharama yoyote.
Kessy ametumia lugha ya kuudhi nashangaa Mhagama hajasimama
Akiulizwa kesi kuhusu muungano anaweza akasema uvunjwe kwakua amesema wanatunyonya bara.
Kwamaneno ya Kessy nikwamba wabunge wote watokao visiwani hata mtu awe waziri,au mwenyekiti wa bunge akae kwenye wizara za muunganotu.Je nyie CCM waumini wa muungano mmemuelewa Kessy vizuri au mmeshangiliatu.
Mimi sio mzanzibar lakini huo ni ubaguzi,unyanyapaa,udhalilishaji na nilugha ya kuudhi.
Je huyo mwenyekiti hapo sibora angeondokatu
Mhagama kwani unapo lalamika lugha ya kuudhi maranyingi unamaanisha nini?Angekuapo Zungu angemtuliza Kessy maana angalau yeye anaweza kukemea
Nani aitishe, si kuna serikali Znz na si kuna watu wake, sisi hata leo mkitaka kukitoa bye bye!!!!ni lini Zanzibar walisema wanataka Muungano na Watanganyika ?
nashangaa Nyerere alivyokimbilia Zanzibar kufunga mkataba wa Muungano..
Mmesahau mlivyokua mkiingia Zanzibar kununua bidhaa ?
sasahivi hela za bandari ya Zanzibar mkusanye nyinyi, utalii mkusanye nyinyi, foreign exchange kutoka Zanzibar mkusanye nyinyi , misaada ya UN, FIFA iishie kwenu..
makusanyo hayo kutoka Zanzibar mnaingiza kwenye mfuko wa Muungano kuendesha miradi ya bara na Zanzibar kuambulia mazombie ya askari kutoka bara ili kuwadhibiti...
mmeizuia Zanzibar hata kujiunga na OIC ili isinufaike..
MBONA HAMUITISHI REFERENDUM ili Wazanzibar waamue kama wana hata shauku ya kuungana na machogo.
No,alisema wabunge wa Zanzibar wanawakilisha wananchi wachache,ukipiga filimbi wote wanakusanyika!Nakumbuka aliwahi kusema kwamba unaweza kuwaita wazanzibari wote kwa filimbi na wakasikia.
Usiwahukumu kwa ujumla CCM. Uccm ni tofauti na Mccm. Sijui utaelewa tena!
Kuna hoja ndani ya kauli za KessyNjia pekee ya kuondoa muingilio wa Wazanzibar kwenye masuala yasiyowahusu ni katiba mpya kama ilivyokuwa imeratibiwa na team ya Judge Warioba!.
Mengine haya ni mbwembwe tu na matumizi mabaya ya muda wa bunge. Huyu kessy mimi namwitaga Kessy Popo.
Inaweza kupiga maendeleo sana tu. Lakini kwa mawazo haya ya kudai ajira za mabalozi badala ya kufikiri mambo makubwa zaidi nina shaka.Ally Kessy akae akijua kwamba Zanzibar uchumi wake unaweza kukua kwa mwaka 1 tu basi yaonekana hata Geografia hajui huyu mbunge tena naongezea kisiwa cha Zanzibar ni chaina yake hakina zaruba ya vimbunga vya asili ccm acheni kuikalia kimabavu muone kama haitapiga hatua kimaendeleo haraka
Wewe fedha za muungano ! atiHakuna shida. Wakiongelea ambayo sio ya muungano wote watoke. Kwani hili bunge la muungano na la tanganyika halipo wakawa wanaongea ya tanganyika pekee yao.
Kwanza tafuteni bunge la tanganyika mlipate....Kwa sasa halipo na tanganyika haichangii kitu ..fedha hizi ni za muungano hivyo tutabanana tu..hamtaki tuacheni tumu mue