Tuseme mapaka natural coz ndo aje mwingine ila kwa sasa Cjamuona wa kuthubutu labda baadaeTumpe miaka 20 zen aje mwengine, cz bado kuna kazi hajamaliza, yuko vzr na kwa miaka hii bado hakuna wa kufit kile kiti zaidi yake.
Tumpe 20 yrs inatosha kujenga nchiTuseme mapaka natural coz ndo aje mwingine ila kwa sasa Cjamuona wa kuthubutu labda baadae
Kwani cha marais waliopita tulishindwaje kuwapata watu sahihi wa kutuongoza?Mungu wetu anasauti zaidi .Nkiruzinza alijua atadondoka ghafla.Alijiwekea mazingiza muhimu yakuongoza hata baada ya uchaguzi.Kwani hao wengine waliokaa miaka 10 wao hawakuwa waziri.Amalize muda wake aondoke.Tupo watanzania 56m wakutosha kupatikaaana mtu mwingine wakutuongoza.Asitushoshe na urais kuongezewa muda
😀😀😀 ndugu hii haichagua wala haibagui mara paa wewe mwenywe ndanUzuri Covid - 19 bado ipo ipo na inapiga wale wanaoidharau.
Haaa na kwa Mungu wanaomba awaongezee muda wameshapeleka maombi tayariSasa wakimuongezea muda halafu Mungu akafanya yake itakuwaje?
True bila hivo ndoa ya dada kwa shemeji hii mashakani lzm urudi kijijini
Naamini na yeye kwa umakini huo huo watachagua mtu sahihi wakutuongozaKwani cha marais waliopita tulishindwaje kuwapata watu sahihi wa kutuongoza?
Sasa anayetaka kutuongoza ni huyo anakwenda kula vyombo mpaka anateguka mguu kweli useme kuna mtu wa kuthubutu kama mzee babaYani jiwe hakustahili kuongoza hata wiki,nyie nzi wa kijana maCCM mbona mnasujudia sana huyu jiwe kipi cha maana hasa alichokifanya kwa wananchi hadi mumuone kama mungu wenu na kumpigia chapuo aongezewe muda ,Tz tunahitaji taasisi imara na katiba bora ya kutuongoza na si jitu moja ndio linaaamua hatma ya watanzania zaidi ya milioni 56,Bastardo mtoa Uzi na wote mnaounga mkono magufuli kuongezewa muda
Kazi kama kiti cha bus ukishuka wezio wanakaaWafanyakazi wa Umma wote tuta re-sign tukisikia mnapitisha huo uharo
Acha kufanya kazi ya MUNGU kwani ni MUNGU pekee anayejua siku ya kufa ya kila kiumbeKwa Afya zao za Kutumia Battery kwenye Moyo sijui kama hata Miaka miwili Mbeleni watakuwa hai!
Ndugai mwenyewe anapumulia machine
tafuta kazi halali ya kufanya, acha kutumiwa na watawala...inakufanya kuwa mtumwaMpuuzi ni wewe na mama yako ova