Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Wewe fisadi papa unanichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Corona ita tingisha tu lakini haitaondoa tatizo. Tatizo ni utawala mzima na dawa ni kuuondoa madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe fisadi papa unanichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Corona ita tingisha tu lakini haitaondoa tatizo. Tatizo ni utawala mzima na dawa ni kuuondoa madarakani.
Nyinyi mafisadi tatizo lenu nadhani war ni kubeba Pesa kwenye rumbesa kama mlivyo zoea ,mtapata tabu sana hadi miaka 20 ya magu kumalizika kizazi chenu mafisadi kitakuwa marehemuNi kujiandaa na civil war!
Litapita Hilo yupo Hadi 2040 then anamuachia bashite Hadi 2070.Ikulu mpya, Kinga ya kutoshtakiwa, manunuzi ya kuunga juhudi, kuwashughulikia wapinzani ili kuhakikisha waimba kwaya tu ndo watarudi kusema ndiooo sababu ya kujali pesa na sio uhai wa taifa connect dot upate jibu.Wasithubutu kufanya huo upuuzi wanaofikiria
Kuuza nchi kwa mabeberu na mafisadi ni kuacha nchi salama jinga kabisa wewe ,tulikuwa tunaambiwa ni mchanga kumbe ni madini ya zaidi ya $360mil yanatoroshwa na uchafu wa IPTLccm tangu uhuru imekuwa ikibadili marais kwa mafanikio wote wakiiacha nchi salama salimini.Ni nini kilichobadilika mpaka mnatuambia hamuoni mtu wa kumrithi Magu?Je ndio mwisho wa kufikiri kwenu?Ni nini kimetokea kwa chama hiki kikongwe mpaka watu wanasema hadharani bungeni kwamba hawaoni mtu wa kumrithi Magu ndani ya chama chao?Ni kweli au ni kikundi tu cha wabinafsi fulani ccm wanataka kumshawishi Magu kwa ajenda zao binafsi?Je,ccm ya leo si ile ya zamani?(yenye tunu kibao).Ccm ya leo haina candidates wa urais isipokuwa mtu mmoja tu?Kama ni hivyo mtuambie tuma sababu gani ya kuachia chama mufilisi kama hichi (kinachotegemea mtu mmoja) kiendelee kushika madaraka?Hamuoni chama chenu kilivyo hatari kwa ustawi wa taifa?(chama cha mtu mmoja)e.Si haya mnayompigia kelele Mbowe kila kukicha?(kwamba aachie madaraka ya chadema kwa watanzania wengine)?Sasa na nyie mnafanya nini hapo?Hivi watanzania mmekumbwa na uchizi wa aina gani lakini?Mbona ile jamii ya watu wenye uwezo wa "kawaida tuu"(si lazima uwe jinias) wa kufikiri inaondoka kwa kasi hivi?You know kama kuna jambo nampendea sana Magu ni hili,ameweza kuwabana watu hadi rangi halisi za kinafiki za watz zinaonekana.Hata wale tuliodhani ni wazito kumbe ni wepesi hivi!From Ally Keissy wa ccm,Edo Lowasa hadi Lijualikali wa chadema woote tumeona rangi zao halisi.Namshukuru sana Magu kwa hii legacy.Ametusaidia kujua rangi halisi za wabongo baada ya kuapply hii staili yake ya uongozi wa kibano kikali.Sasa watu tusiowadhania wanaimba mapambio ya ajabu!Inatusaidia katika kuchagua na vetting ya viongozi mbalimbaliNext time i think we will be careful because KUMBE MKO HIVI JAMAAANI![emoji34]
Hata kurunziza aliongezewa muda, watawala wa kiafrica ufananaWanadamu mnapanga .Ila Mungu ndo kiboko yenu. Huyo mnaetaka aongonze maisha. Organs zake zikiacha kufanya kazi kabla hata ya uchaguzi,bado jeneza lake mtalipigigia kura. Idiots. Mungu sio mwanadamu.
Hayo makinikia yameenda wapiKuuza nchi kwa mabeberu na mafisadi ni kuacha nchi salama jinga kabisa wewe ,tulikuwa tunaambiwa ni mchanga kumbe ni madini ya zaidi ya $360mil yanatoroshwa na uchafu wa IPTL
Kila siku unalaani Mbowe kukaaa mda mrefu kumbe ni halali mwenyekiti wa chama cha familia kuongezewa mda sie Kama wapinzani tumemuongezea miaka 100 kabisa bila chenji,atuletee maendeleo lkn sio kutuletea wasiojulikana, maana tukiisha wote nani atafaidi maendeleo.Spika wetu anamaono sana kama watanzania wengi, Mungu ambariki sana
Vipi dalili za ukamilifu upo.Kwa sasa hivi bado ni mapema kumuongezea Raisi Magufuli muda, kwa maoni yangu akikamilisha 2 000 MW, phase zote za Mwendokasi na SGR iwe imeshafika Dodoma/Manyoni hapo sasa kuna hoja kwamba asimamie na kukamilisha hivyo bado ingawaje anaelekea vizuri, ...
Mkuu kwa kweli huyu Raisi ni mwamba tena inapaswa tumlinde kweli kila mwenye uwezo wa kumlinda huyu Rasi kwa namna yeyote ile hamlinde.Kwa sasa hivi bado ni mapema kumuongezea Raisi Magufuli muda, kwa maoni yangu akikamilisha 2 000 MW, phase zote za Mwendokasi na SGR iwe imeshafika Dodoma/Manyoni hapo sasa kuna hoja kwamba asimamie na kukamilisha hivyo bado ingawaje anaelekea vizuri, ...
Majitu yamefumbwa haya kwa hyo lenyew litakua spika la milele.Hapa najua matumbo joto ya uchaguz maana jiwe ndo anayeteua hvyo kila got litapigwa kwa hakuna mtu anayempenda wengi wanaishi kwa hofuSpika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Bila hivo hawezi Rudi jimboni kwa box la kura ni lzm amuangukie mwenyekiti,but spika ajae ni Daudi awahi tu kumuomba msamaha Kama alimkoseaKama ambavyo jiwe alivyomhakikishia jimbo la kongwa,analipa fadhila
Wewe na yeye mnaweza mkazimika kama Nkurunzinza, na kweli Mungu mtazimika ghafla kama kibataliNyinyi mafisadi tatizo lenu nadhani war ni kubeba Pesa kwenye rumbesa kama mlivyo zoea ,mtapata tabu sana hadi miaka 20 ya magu kumalizika kizazi chenu mafisadi kitakuwa marehemu
Hujui kwamba kisukari kikipanda kichwani "unapata ukichaa taratibu"?Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Hawana uwezo wa kuishi nje ya siasa,na teuzi zote kipaumbele Cha kwanza ni waimba kwaya,Majitu yamefumbwa haya kwa hyo lenyew litakua spika la milele.Hapa najua matumbo joto ya uchaguz maana jiwe ndo anayeteua hvyo kila got litapigwa kwa hakuna mtu anayempenda wengi wanaishi kwa hofu
Ni mpango mkakati wa muda mrefu sanaSpika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Habari nzuri sana ila umeiandika hovyo hovyo...Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Mbele ya pesa litapita.Ukiwafanya watu wawe masikini ni rahisi kuwatawala unawapa pesa nao sababu ni wanufaika ni lzm waunge mkono.Mwafrika ni dhaifu Sana mbele ya pesa sababu kiasili sisi ni wabinafsi,pia kumbuka Hakuna mwanasiasa awezae ishi nje ya siasa kupitia pesa za bure.Hakuna kazi inayolipa na yenye pesa Kama siasa.Kama mchakato halali wa kisheria/kikatiba utafuatwa haina shida.
Hiyo ndo demokrasia yenyewe,hata hiyo mihula miwili iliwekwa na watu tu.
Wanaoona haifai watapigia HAPANA na wanaoona inafaa watapigia NDIYO.
Tuliwaambia, upinzani usiodhibiti chombo chochote cha maamuzi ni upinzani mfu.