Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Corona ita tingisha tu lakini haitaondoa tatizo. Tatizo ni utawala mzima na dawa ni kuuondoa madarakani.
Wewe fisadi papa unanichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kujiandaa na civil war!
Nyinyi mafisadi tatizo lenu nadhani war ni kubeba Pesa kwenye rumbesa kama mlivyo zoea ,mtapata tabu sana hadi miaka 20 ya magu kumalizika kizazi chenu mafisadi kitakuwa marehemu
 
Wanadamu mnapanga .Ila Mungu ndo kiboko yenu. Huyo mnaetaka aongonze maisha. Organs zake zikiacha kufanya kazi kabla hata ya uchaguzi,bado jeneza lake mtalipigigia kura. Idiots. Mungu sio mwanadamu.
 
Wasithubutu kufanya huo upuuzi wanaofikiria
Litapita Hilo yupo Hadi 2040 then anamuachia bashite Hadi 2070.Ikulu mpya, Kinga ya kutoshtakiwa, manunuzi ya kuunga juhudi, kuwashughulikia wapinzani ili kuhakikisha waimba kwaya tu ndo watarudi kusema ndiooo sababu ya kujali pesa na sio uhai wa taifa connect dot upate jibu.
 
ccm tangu uhuru imekuwa ikibadili marais kwa mafanikio wote wakiiacha nchi salama salimini.Ni nini kilichobadilika mpaka mnatuambia hamuoni mtu wa kumrithi Magu?Je ndio mwisho wa kufikiri kwenu?Ni nini kimetokea kwa chama hiki kikongwe mpaka watu wanasema hadharani bungeni kwamba hawaoni mtu wa kumrithi Magu ndani ya chama chao?Ni kweli au ni kikundi tu cha wabinafsi fulani ccm wanataka kumshawishi Magu kwa ajenda zao binafsi?Je,ccm ya leo si ile ya zamani?(yenye tunu kibao).Ccm ya leo haina candidates wa urais isipokuwa mtu mmoja tu?Kama ni hivyo mtuambie tuma sababu gani ya kuachia chama mufilisi kama hichi (kinachotegemea mtu mmoja) kiendelee kushika madaraka?Hamuoni chama chenu kilivyo hatari kwa ustawi wa taifa?(chama cha mtu mmoja)e.Si haya mnayompigia kelele Mbowe kila kukicha?(kwamba aachie madaraka ya chadema kwa watanzania wengine)?Sasa na nyie mnafanya nini hapo?Hivi watanzania mmekumbwa na uchizi wa aina gani lakini?Mbona ile jamii ya watu wenye uwezo wa "kawaida tuu"(si lazima uwe jinias) wa kufikiri inaondoka kwa kasi hivi?You know kama kuna jambo nampendea sana Magu ni hili,ameweza kuwabana watu hadi rangi halisi za kinafiki za watz zinaonekana.Hata wale tuliodhani ni wazito kumbe ni wepesi hivi!From Ally Keissy wa ccm,Edo Lowasa hadi Lijualikali wa chadema woote tumeona rangi zao halisi.Namshukuru sana Magu kwa hii legacy.Ametusaidia kujua rangi halisi za wabongo baada ya kuapply hii staili yake ya uongozi wa kibano kikali.Sasa watu tusiowadhania wanaimba mapambio ya ajabu!Inatusaidia katika kuchagua na vetting ya viongozi mbalimbaliNext time i think we will be careful because KUMBE MKO HIVI JAMAAANI![emoji34]
Kuuza nchi kwa mabeberu na mafisadi ni kuacha nchi salama jinga kabisa wewe ,tulikuwa tunaambiwa ni mchanga kumbe ni madini ya zaidi ya $360mil yanatoroshwa na uchafu wa IPTL
 
Wanadamu mnapanga .Ila Mungu ndo kiboko yenu. Huyo mnaetaka aongonze maisha. Organs zake zikiacha kufanya kazi kabla hata ya uchaguzi,bado jeneza lake mtalipigigia kura. Idiots. Mungu sio mwanadamu.
Hata kurunziza aliongezewa muda, watawala wa kiafrica ufanana
 
Kuuza nchi kwa mabeberu na mafisadi ni kuacha nchi salama jinga kabisa wewe ,tulikuwa tunaambiwa ni mchanga kumbe ni madini ya zaidi ya $360mil yanatoroshwa na uchafu wa IPTL
Hayo makinikia yameenda wapi
 
Spika wetu anamaono sana kama watanzania wengi, Mungu ambariki sana
Kila siku unalaani Mbowe kukaaa mda mrefu kumbe ni halali mwenyekiti wa chama cha familia kuongezewa mda sie Kama wapinzani tumemuongezea miaka 100 kabisa bila chenji,atuletee maendeleo lkn sio kutuletea wasiojulikana, maana tukiisha wote nani atafaidi maendeleo.
 
Kwa sasa hivi bado ni mapema kumuongezea Raisi Magufuli muda, kwa maoni yangu akikamilisha 2 000 MW, phase zote za Mwendokasi na SGR iwe imeshafika Dodoma/Manyoni hapo sasa kuna hoja kwamba asimamie na kukamilisha hivyo bado ingawaje anaelekea vizuri, ...
Vipi dalili za ukamilifu upo.
 
Kwa sasa hivi bado ni mapema kumuongezea Raisi Magufuli muda, kwa maoni yangu akikamilisha 2 000 MW, phase zote za Mwendokasi na SGR iwe imeshafika Dodoma/Manyoni hapo sasa kuna hoja kwamba asimamie na kukamilisha hivyo bado ingawaje anaelekea vizuri, ...
Mkuu kwa kweli huyu Raisi ni mwamba tena inapaswa tumlinde kweli kila mwenye uwezo wa kumlinda huyu Rasi kwa namna yeyote ile hamlinde.

Nimepita juzi pale Busisi Mwanza nimekuta material yamemwagwa pale ya kutosha, wa China wanapiga kazi usiku na mchana kujenga daraja la Busisi ambalo ndio litakuwa kubwa kuliko yote Africa mashariki na litagharimu takriban bilion 200. Hili daraja litakuwa mkombozi kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi za maziwa makuu. Wakati huo huo SGR ya kutoka Dodoma-Tabora-Isaka-Mwanza hadi Rwanda nayo ipo mbioni kuanza, Mungu atupe nini zaidi Watanzania.
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Majitu yamefumbwa haya kwa hyo lenyew litakua spika la milele.Hapa najua matumbo joto ya uchaguz maana jiwe ndo anayeteua hvyo kila got litapigwa kwa hakuna mtu anayempenda wengi wanaishi kwa hofu
 
Nyinyi mafisadi tatizo lenu nadhani war ni kubeba Pesa kwenye rumbesa kama mlivyo zoea ,mtapata tabu sana hadi miaka 20 ya magu kumalizika kizazi chenu mafisadi kitakuwa marehemu
Wewe na yeye mnaweza mkazimika kama Nkurunzinza, na kweli Mungu mtazimika ghafla kama kibatali
 
Kutoka demokrasia teketeke hadi demokrasia mfu kabisa.
Poor Tanzania.
 
Kama mchakato halali wa kisheria/kikatiba utafuatwa haina shida.

Hiyo ndo demokrasia yenyewe,hata hiyo mihula miwili iliwekwa na watu tu.

Wanaoona haifai watapigia HAPANA na wanaoona inafaa watapigia NDIYO.

Tuliwaambia, upinzani usiodhibiti chombo chochote cha maamuzi ni upinzani mfu.
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Hujui kwamba kisukari kikipanda kichwani "unapata ukichaa taratibu"?
Kisukari huenda kinampanda
 
Majitu yamefumbwa haya kwa hyo lenyew litakua spika la milele.Hapa najua matumbo joto ya uchaguz maana jiwe ndo anayeteua hvyo kila got litapigwa kwa hakuna mtu anayempenda wengi wanaishi kwa hofu
Hawana uwezo wa kuishi nje ya siasa,na teuzi zote kipaumbele Cha kwanza ni waimba kwaya,
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Ni mpango mkakati wa muda mrefu sana
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Habari nzuri sana ila umeiandika hovyo hovyo...
 
Kama mchakato halali wa kisheria/kikatiba utafuatwa haina shida.

Hiyo ndo demokrasia yenyewe,hata hiyo mihula miwili iliwekwa na watu tu.

Wanaoona haifai watapigia HAPANA na wanaoona inafaa watapigia NDIYO.

Tuliwaambia, upinzani usiodhibiti chombo chochote cha maamuzi ni upinzani mfu.
Mbele ya pesa litapita.Ukiwafanya watu wawe masikini ni rahisi kuwatawala unawapa pesa nao sababu ni wanufaika ni lzm waunge mkono.Mwafrika ni dhaifu Sana mbele ya pesa sababu kiasili sisi ni wabinafsi,pia kumbuka Hakuna mwanasiasa awezae ishi nje ya siasa kupitia pesa za bure.Hakuna kazi inayolipa na yenye pesa Kama siasa.
 
Back
Top Bottom