Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Tume huru ya uchaguzi.Tume huru ndiyo ikoje?
Ya sasa inateuliwa na rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume huru ya uchaguzi.Tume huru ndiyo ikoje?
Hata wakitaka kufanya naamini hakuna atakayewazuiaWasithubutu kufanya huo upuuzi wanaofikiria
Hatutafika hukoNaiona Libya ya wakati wa mwisho wa Gaddafi inakuja kwa kasi ya ajabu sana.
lolote linawezekana, we unategemea kitu gani tangible kutoka ktk bonge DHAIFU?!.Wasithubutu kufanya huo upuuzi wanaofikiria
Never everKaribu tutaanza kugawana majengo ya serikali Ndugai weh haya!
Kwa uoga wa watz, nani atashiriki hio civil war ?Ni kujiandaa na civil war!
Jaribu kuficha ujinga wako hata Mara mojamojaTume huru ndiyo ikoje?
Inaandaliwa na system Rais anaitangaza hata hiyo unayosema Tume Huru itaandaliwa na system pia!Tume huru ya uchaguzi.
Ya sasa inateuliwa na rais.
Tutakuanzia wewe kabla ya hiyo civil war kwa kuwa watz hatutaki hiyo civil war.Ni kujiandaa na civil war!
Haya wewe mwelevu onyesha uelevu wako kwa kujibu swali langu kielevu.Jaribu kuficha ujinga wako hata Mara mojamoja
Acha kuchekeshaInaandaliwa na system Rais anaitangaza hata hiyo unayosema Tume Huru itaandaliwa na system pia!
Tatizo liko hapo, lkn kuna mwaka woga utaisha!Kwa uoga wa watz, nani atashiriki hio civil war ?
kuna kila dalili Tanzania soon itakuwa Zimbabwe.Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Wasithubutu kufanya huo upuuzi wanaofikiria
Kama ambavyo jiwe alivyomhakikishia jimbo la kongwa,analipa fadhila