Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Wasithubutu kufanya huo upuuzi wanaofikiria
lolote linawezekana, we unategemea kitu gani tangible kutoka ktk bonge DHAIFU?!.

bora mawazo ya watu wa vijiweni kutoka ktk hilo kundi linatotutia hasara kwa kutafuna tu kodi zetu


walaaniwe kwa kula dhulma!.
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
kuna kila dalili Tanzania soon itakuwa Zimbabwe.

USA & EU hawapendezewi na yanayoendelea nchini.... tunaenda kupigwa pini kwa sababu ya dizaini ya viongozi tulio nao ambao wanawazia zaidi maslahi yao binafsi na genge lao la kihalifu dhidi ya ubinadamu.

Mugabe alifanya uasi dhidi ya mataifa ya magharibi akidhani uhusiano na China na Russia ungemsaidia. alichokuwa hajui ni kwamba China na Russia ni wabinafsi kupindukia.

ushauri kwa serekali ya awamu ya 5.... sumu haijaribiwi makali yake kwa kuionja.
 
Sijawahi kushuhudia bunge kuwa na mambo ya ajabu kama hili
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
 
Back
Top Bottom