Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Tutaomba msaada wa Korona kwa hawa wengine tusiowaweza kwa njia nyingine.
 
Kwa sasa hivi bado ni mapema kumuongezea Raisi Magufuli muda, kwa maoni yangu akikamilisha 2 000 MW, phase zote za Mwendokasi na SGR iwe imeshafika Dodoma/Manyoni hapo sasa kuna hoja kwamba asimamie na kukamilisha hivyo bado ingawaje anaelekea vizuri, ...
 
ccm tangu uhuru imekuwa ikibadili marais kwa mafanikio wote wakiiacha nchi salama salimini.Ni nini kilichobadilika mpaka mnatuambia hamuoni mtu wa kumrithi Magu?Je ndio mwisho wa kufikiri kwenu?Ni nini kimetokea kwa chama hiki kikongwe mpaka watu wanasema hadharani bungeni kwamba hawaoni mtu wa kumrithi Magu ndani ya chama chao?Ni kweli au ni kikundi tu cha wabinafsi fulani ccm wanataka kumshawishi Magu kwa ajenda zao binafsi?Je,ccm ya leo si ile ya zamani?(yenye tunu kibao).Ccm ya leo haina candidates wa urais isipokuwa mtu mmoja tu?Kama ni hivyo mtuambie tuma sababu gani ya kuachia chama mufilisi kama hichi (kinachotegemea mtu mmoja) kiendelee kushika madaraka?Hamuoni chama chenu kilivyo hatari kwa ustawi wa taifa?(chama cha mtu mmoja)e.Si haya mnayompigia kelele Mbowe kila kukicha?(kwamba aachie madaraka ya chadema kwa watanzania wengine)?Sasa na nyie mnafanya nini hapo?Hivi watanzania mmekumbwa na uchizi wa aina gani lakini?Mbona ile jamii ya watu wenye uwezo wa "kawaida tuu"(si lazima uwe jinias) wa kufikiri inaondoka kwa kasi hivi?You know kama kuna jambo nampendea sana Magu ni hili,ameweza kuwabana watu hadi rangi halisi za kinafiki za watz zinaonekana.Hata wale tuliodhani ni wazito kumbe ni wepesi hivi!From Ally Keissy wa ccm,Edo Lowasa hadi Lijualikali wa chadema woote tumeona rangi zao halisi.Namshukuru sana Magu kwa hii legacy.Ametusaidia kujua rangi halisi za wabongo baada ya kuapply hii staili yake ya uongozi wa kibano kikali.Sasa watu tusiowadhania wanaimba mapambio ya ajabu!Inatusaidia katika kuchagua na vetting ya viongozi mbalimbaliNext time i think we will be careful because KUMBE MKO HIVI JAMAAANI!😠
 
Ni msiba mkunwa unao endelea bungeni. Sheria na katiba ya nchi ina chezewa ndani ya bunge. Yote wanafanya wakidhani kuwa wao watatawala milele. Wamesahau kuwa Tanzania ni ya watanzania na ndio wenye haki ya maamuzi ya vipi nchi hii iendeshwe. Na mihimili pia ina haki katika kutetea katiba ya nchi. Kessy ana dhihirisha ujinga wake. Nawaomba wananchi wa jimboni kwake wahakikishe harudi tena bungeni. Kuichezea katiba itakuja kuwa dhuru wao. Leo tumeshuhudia kifo cha Nkurunzinza. Amekufa kwa kihoro baada ya kudhania kuwa yeye ni REEEE, kumbe ni kigarasa tu. Na huyu mkuu wetu na wafuasi wake wanatakiwa kufahamu hivo. Watanzania wengi ni masikini. na umasikini umezidi katika awamu hii. Pesa haipatikani. Mambo muhimu ya kushughulikia hyashughulikiwi. Bado wamekaa na UBABE basi pia ubabe una mwisho na mwisho wake ni sasa. TUMECHOKA...
 
Upumbavu tu Kwahiyo yeye kafanya vitu gani vya unique mpka angoze kwa mda wote huo,maisha ya watz ni mlesha ng'ombe America.
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
Kama viongozi wengine wakisiasa wanaogombea na kuchaguliwa hawana ukomo, kwanini cheo Cha Rais kiwe na ukomo?
Kama akipitishwa na Chama chake Aachwe agombee wananchi ndio tutaamua kumpa kura ya ndio au hapana.
Na hii ndio democracy, ni sheria zakidicteta kumzuia mtu kugombea. Hata kikwete, Mkapa nao wakitaka warudi wagombee tena. Wananchi ndio tutaamua kupitia sanduku la kura.
 
Kama viongozi wengine wakisiasa wanaogombea na kuchaguliwa hawana ukomo, kwanini cheo Cha Rais kiwe na ukomo?
Kama akipitishwa na Chama chake Aachwe agombee wananchi ndio tutaamua kumpa kura ya ndio au hapana.
Na hii ndio democracy, ni sheria zakidicteta kumzuia mtu kugombea. Hata kikwete, Mkapa nao wakitaka warudi wagombee tena. Wananchi ndio tutaamua kupitia sanduku la kura.
Ondoeni ukomo ila wekeni tume huru ya uchaguzi. Hapo hakuna atakayelalamika
 
Hata nkurunzinza alikuwa mbishi.
Il kwa kawaida madaraka ni matamu sana. Hao wote wanajingalia ili kulinda vyeo vyao.
Kwani ulimwondoa? Si mpaka amemaliza muda wake na Rais mpya ameshachaguliwa ndiyo amefariki kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu!
 
Kwa utukufu aliopewa mkuu huenda hata uchaguzi usiwepo wagombea nafasi urais watafika bei, na wabishi watakiona,patafanyika chaguzi wabunge na madiwani wachache ushahidi democrasia!! Vyama washirika ccm.
Angalizo wapambe wa mkuu acheni hizo kumjaza ujinha, tutajuta pamoja. JPM kafanya kazi kubwa Misingi miradi uti wa mgongo uchumi wa kati, kujenga msingi sio kazi ngumu, mtihani kumalizia.
Watz wanamachungu na magumu mengi, tusipowapoteze Jumuia ya kimataifa tutajuta na miradi mingi kusimama.
Mfano sector afya ni kweli yapo majengo mengi ila vifaa na wahudumu wa kutosha na wenye motisha bado!Thamani ex ray pekee yaweza kuzidi Majengo zahanati.
Uko sahihi..kata kipindi Magufuli anagombea ubunge. Alianza kwa kupigwa chini mpaka alipogundua formula ya kuwanunua wapinzani wake theni anapita bila kupingwa. In short magu hawez torolate any kind of competition.
 
Sauti ya Kessy ni sauti ya Magufuli kabisaaa, jamaa katumwa apime upepo kama utafaa kwa safari ndefu
 
Tumaini pekee linalotutofautisha na Rwanda, Burundi, Congo na Uganda ni TERM LIMITS.

Wakitoa Hiyo Hata Uganda Itakuwa Bora Mara 2,000
 
Uko sahihi..kata kipindi Magufuli anagombea ubunge. Alianza kwa kupigwa chini mpaka alipogundua formula ya kuwanunua wapinzani wake theni anapita bila kupingwa. In short magu hawez torolate any kind of competition.
Andika kwa kiswahili tu mkuu kiingereza kinakupiga chenga!
 
Back
Top Bottom