Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Return Of Undertaker,

Ni kiongoz mzuri sana mtetezi wa wanyonge ila nilazima tukumbuke hakuna mwanadam ataishi milele ndio maana kuna vipindi vya maongozi pamoja na uzuri wote wa Mh Magufuli kumuongezea muda nikutaka litumbukiza taifa hili ktk kiza kinene ambacho vizaz vijavyo vitafukua makaburi nakupima akili zetu kama zilikuwa sawa huu mchezo Ally , team yake wanaufanya nilazima waache mara moja kwa ustawi wa Taifa hili kam Nyerere aliondoka na Mkapa alitawala akamaliza salama je Magufuli atakuwa nani? Binafsi nitamshangaa sana ikiwa hato wakemea hawa watu kama Ally Kessy
 
Rais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa

Hata hii kinga, lengo lake ni maandalizi ya kuchezea katiba ili Magufuli aongezewe muda wa kukaa madarakani. Hilo la kuchezea uchaguzi nayo hasa ni ili kuwapa wanaccm ubunge wa ghiliba ambao watatumika huko bungeni kumuongezea muda Magufuli. Hilo wala halihitaji elimu ya chuo kikuu kulielewa.
 
Nikiongoz mzuri sana mtetezi wa wanyonge ila nilazima tukumbuke hakuna mwanadam ataishi milele ndio maana kuna vipindi vya maongozi pamoja na uzuri wote wa Mh Magufuli kumuongezea muda nikutaka litumbukiza taifa hili ktk kiza kinene ambacho vizaz vijavyo vitafukua makaburi nakupima akili zetu kama zilikuwa sawa huu mchezo Ally , team yake wanaufanya nilazima waache mara moja kwa ustawi wa Taifa hili kam Nyerere aliondoka na Mkapa alitawala akamaliza salama je Magufuli atakuwa nani? Binafsi nitamshangaa sana ikiwa hato wakemea hawa watu kama Ally Kessy

Awakemee wakati ndio anachokitaka?
 
Hii taka taka haielewi tu? Rais ashasema hataki kuongeza hata siku moja. Kam jamaa anautaka uwaziri amtukane Mbowe
 
Naunga mkono hoja tena itakuwa vizuri kama atapata viongozi vijana na wazalendo hasa wabunge wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi. Ni dhahiri vijana wameonesha utenda mzuri sana awamu hii mfano ni RC Makonda tutamkumbuka kwa kazi zake nzuri hasa kukomesha biashara haramu ya madaw ya kulevya, tunaona ya DC Joketi huko kisarawe bila kuwasahau RC Chalamila, Gambo, Waziri Jafo hao ni wachache tu.

Kwa kweli nchii hii bado tunamihitaji Magufuli na tutaendelea kumuhitaji sana mimi naamini hata sasa kuna baadhi ya mambo hayaendi vizuri ni kwa sababu tu Raisi Magufuli amekosa watu sahihi kwenye baadhi ya idara ila kama akipata muda mrefu wa kuongoza hii nchi atapata wasaa mzuri wakupanga safu yake vizuri na hapo ndipo tutakapofikia ile adhama ya kuwa nchi ya maziwa na asali.

German, Russia na China wamewaongezea muda viongozi wao kwa kazi nzuri wanazofanya na ikimumbukwe wale ni matajiri wananchi wao hawana kero nyingi kama wetu sasa sisi nchi inayoendelea inachangamoto nyingi ambazo zinahitaji kiongozi mzalendo na mwenye maono tunashindwa nini kumuongezea mzalendo JPM muda wa kuongoza?
 
"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).

Hivi watu wa Nkansi-Namanyere -Rukwa hamna mtu mwenye akili zaidi ya hawa wawili na mipata wake? Nashukuru mungu nilihama huko na saizi nipo DSM napambana na makonda
 
Return Of Undertaker,

Ni kiongoz mzuri sana mtetezi wa wanyonge ila nilazima tukumbuke hakuna mwanadam ataishi milele ndio maana kuna vipindi vya maongozi pamoja na uzuri wote wa Mh Magufuli kumuongezea muda nikutaka litumbukiza taifa hili ktk kiza kinene ambacho vizaz vijavyo vitafukua makaburi nakupima akili zetu kama zilikuwa sawa huu mchezo Ally , team yake wanaufanya nilazima waache mara moja kwa ustawi wa Taifa hili kam Nyerere aliondoka na Mkapa alitawala akamaliza salama je Magufuli atakuwa nani? Binafsi nitamshangaa sana ikiwa hato wakemea hawa watu kama Ally Kessy
Kama wananchi watakubali abaki sidhani kama wanasiasa wanaweza pinga sababu wanasisa wengi hutafuta vyeo wananchi hutafuta viongozi wenye kuleta maendeleo. Binafsi naona uchaguzi wa mwaka huu ndio utaonesha ni kiasi gani wananchi wangependa JPM aendele kuongoza.
 
Back
Top Bottom