Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Kama Mbowe wa chama kinachojinasibu cha demokrasia mwenyekiti amedumu miaka 21 wakati ni msanii na mbadhirifu, Magufuli, Rais wa nchi aliyejitoa kwa maendeleo ya wananchi wote anastahili miaka mingi zaidi
 
Kuna nchi moja iko huko bara la Asia, wananchi na viongozi wao wote ni wehu.
Kauli kama hii inawezekanaje kutamkwa kwenye nchi inayoyoitwa ya kidemokrasia na wananchi wakae kimya?
 
"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).

Yaani ajui kwamba kurunziza amekufa kwa corona,haya maneno yasubirie corona ipite kwanza
 
Hivi huyu mtu nilini aliwahi kuongea neno lenye logic kwa taifa zaidi ya mipasho?
"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).

 
Yaani wanawadharau sana wapiga kura wao, nadhani anatakiwa akapimwe akili
Demokrasia yetu ina matobo kweli Mh Kessy anaongea kwa kujiamini "sisi wabunge ndio tuna mamlaka ya kubadili katiba kuwezesha Rais kuongezewa muda" wananchi si lolote si chochote but wao.
 
Hata nkurunzinza aliongezewa,nipo Burundi lakini
 
Ndiyo maana povu lina mtoka
Return Of Undertaker,

Huyu ana hali ngumu mno Nkasi Kaskazini, na anajua 2015 alikuwa mtu wa Membe maana ni rafiki mkubwa wa JK. Huku kujipendekeza ni kutafuta huruma ya Mwenyekiti. Mwaka 2014 wakati ujenzi wa barabara ya Sumbawanga-Mpanda unasuasua, alimtolea povu Magufuli bungeni na kumwita mbaguzi anayechelewesha ujenzi wa barabara hiyo sababu ya ugomvi binafsi na Pinda uluosababishwa na Pinda kutamka kusitisha amri ya Magufuli (Waziri) kuhusu sakata la malori akiwa jimboni Chato.
 
Back
Top Bottom