Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mnufaika wa udhalimu wa awamu hii,"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).
Yaani ajui kwamba kurunziza amekufa kwa corona,haya maneno yasubirie corona ipite kwanza"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).
Kazi ipi akafanye mbinguni, labda kuzimu akamsaidie ibilisi kuchochea kuniAombe Mungu awepo maana hana udugu nae, hata Nkuruzinza alitamani kuwepo lakini Mungu ana kazi nae zaidi. Na watu wema namna hii ndo wala hawacheleweshwaji na muumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yamejifichia kwenye ufisadi na uwindaji tembo yanaogopa ukiingia mfumo mwingine yatakufa njaaKampe nchi huko kwao oman
Waimba kwaya wote lzm warudi ili kubadili katiba, ikulu mpya Kinga ya kutoshtakiwa connect dot sio wajinga Hawa kuropokaAcha ajipendekeze Lakini harudi bungeni.
"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).
Kila mtu anajipendekeza ili jina lipite kwenye kutafuta wagombea.
Wenye akili mbovu mnajuanaNaunga mkono hoja hiyo
Praise team mataga mnajitahidi kunata na beat.
Mchumia tumbo katika kiwango cha covid19
Hata Nkurunziza aliongezwa muda
Aombe Mungu awepo maana hana udugu nae, hata Nkuruzinza alitamani kuwepo lakini Mungu ana kazi nae zaidi. Na watu wema namna hii ndo wala hawacheleweshwaji na muumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Demokrasia yetu ina matobo kweli Mh Kessy anaongea kwa kujiamini "sisi wabunge ndio tuna mamlaka ya kubadili katiba kuwezesha Rais kuongezewa muda" wananchi si lolote si chochote but wao.
Kuna watu wapo kwenye system sababu ya kusifu ti mtukufu. Wanajua mtukufu wao akitoka tu, basi na wao wameisha. Iyo ndyo hofu yao kubwa.
Yamwageni hapa jukwaaniKessy unajua Tuna mafaili yako yote, na kinachokufanya ujipendekeze?
Anyway usisahau Lile deni la EFTA ulilokopa kwa mgongo wa Mama Janeth
Return Of Undertaker,
Huyu ana hali ngumu mno Nkasi Kaskazini, na anajua 2015 alikuwa mtu wa Membe maana ni rafiki mkubwa wa JK. Huku kujipendekeza ni kutafuta huruma ya Mwenyekiti. Mwaka 2014 wakati ujenzi wa barabara ya Sumbawanga-Mpanda unasuasua, alimtolea povu Magufuli bungeni na kumwita mbaguzi anayechelewesha ujenzi wa barabara hiyo sababu ya ugomvi binafsi na Pinda uluosababishwa na Pinda kutamka kusitisha amri ya Magufuli (Waziri) kuhusu sakata la malori akiwa jimboni Chato.