Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Yes tunaweza kusema asiongezewe muda. Na hata yeye hana mpango huo. Ila lazima tukubali. Magufuli ndiye rais bora africa kwa sasa. Na ndiye rais maarufu africa kwa sana. Na ndiye rais mwenye akili nyingi sana africa. Hilo halina ubishi. Binafsi namwamini sana. Maana kila anachokisema ni kama huwa anasema na akili yangu, kila uamuzi anaouchukua huwa kama ameingia kichwani kwangu akajua nlitamani afanye vile
 
Huyo Mayalla Pamoja na kujitutumua kote anaendeshwa nA Mke wake Kinyama, Mchaga yule anamwendesha hatari, Mpaka familia imemtenga
Hili ni Jukwaa la siasa, hoja iliyo mezani ni hoja serious ya Mhe. Kesi, mambo ya mke wangu unayaleta hapa ya nini?!.

Ni kawaida mtu ukimpenda sana mkeo na kumsikiliza kwa kila jambo, utanyooshewa kidole kuwa " Pasco anaendeshwa sana na mke wake kinyama, Mchaga yule anamwendesha hatari Msukuma yule"!. Kama mtu umependa na unaendeshwa na mkeo, ulitaka niendeshwe na nani?. Kwa kuwasaidia tuu wale wasionijua, usafiri wa Pasco, ni boda boda, lakini sasa ana issue fulani za mkono kutokana na ajali ya boda hivyo, hivyo hawezi kuendesha, anayemuendesha sasa ni mke wake.
Kwa vile hapa sii mahali pake, ya Pasco na mkewe, karibu mitaa hii...

Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!.
P
 
Spika...." Hata asipotaka tutamwongezea ... .Mh.Kesy nina imani sote tutarudi weka moyoni bunge lijalo tunamaliza..." mjengoni 9/6/20
Amefanikiwa kujenga hofu na kukidhiti chama.Ajabu karibu wabunge wote ccm wanatarajia hisani ya mkuu katika uteuzi.Ni aibu na fedheha wanavyomtukuza mkuu zaidi ya Muumba.
 
Kwa utukufu aliopewa mkuu huenda hata uchaguzi usiwepo wagombea nafasi urais watafika bei, na wabishi watakiona,patafanyika chaguzi wabunge na madiwani wachache ushahidi democrasia!! Vyama washirika ccm.
Angalizo wapambe wa mkuu acheni hizo kumjaza ujinha, tutajuta pamoja. JPM kafanya kazi kubwa Misingi miradi uti wa mgongo uchumi wa kati, kujenga msingi sio kazi ngumu, mtihani kumalizia.
Watz wanamachungu na magumu mengi, tutawapoza Jumuia ya kimataifa tutajuta na miradi mingi kusimama.
Mfano sector afya ni kweli yapo majengo mengi ila vifaa na wahudumu wa kutosha na wenye motisha bado!Thamani ex ray pekee yaweza kuzidi Majengo zahanati.
 
Kwa utukufu aliopewa mkuu huenda hata uchaguzi usiwepo wagombea nafasi urais watafika bei, na wabishi watakiona,patafanyika chaguzi wabunge na madiwani wachache ushahidi democrasia!! Vyama washirika ccm.
Angalizo wapambe wa mkuu acheni hizo kumjaza ujinha, tutajuta pamoja. JPM kafanya kazi kubwa Misingi miradi uti wa mgongo uchumi wa kati, kujenga msingi sio kazi ngumu, mtihani kumalizia.
Watz wanamachungu na magumu mengi, tusipowapoteze Jumuia ya kimataifa tutajuta na miradi mingi kusimama.
Mfano sector afya ni kweli yapo majengo mengi ila vifaa na wahudumu wa kutosha na wenye motisha bado!Thamani ex ray pekee yaweza kuzidi Majengo zahanati.
Naiona Libya ya wakati wa mwisho wa Gaddafi inakuja kwa kasi ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom