johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msimamo wa Rais Magufuli katika hili uko wazi kabisa.
Bavicha chapeni kazi majungu siyo mtaji!
Wewe unaamini Injinia wa Finance and Building Babu Tale atabadili katiba?Msimamo wapi wewe ,kashaandaa watu wa Kupiga PRAKATATUMBA za kutaka kumuongezea ,yeye yupo behind the scene!!
Wewe unaamini Injinia wa Finance and Building Babu Tale atabadili katiba?
Babu Tale hana ushawishi na ile " nyota " aliyoitanguliza ni kama inamgomea hivi ndio maana haishi kulia!Hao Mzee Baba ndio nguzo yake ya kubadili katiba,wao kazi yao wanaandikiwa maneno ya kusema na watapewa nafasi ya kuchangia sana huku kibindoni wakipewa 10m za asante.....Mpeni semina Injinia wa Finance maana ni mweupe sana bwashee.
Mwelekeo ni uleule. Ulianzia uchafuzi wa serikali za mitaa. Ukafuatiwa na uchafuzi mkuu. Na unahitimishwa na kubadili katiba kuhusu ukomo wa rais. Atake asitake, ila mhusika anataka sana. Penye nia kuna njia."ATAKE ASITAKE"
Bunge linapotumia msemo wa Rais "ATAKE ASITAKE" linaweza kumaanisha moja au yote Kati ya haya:
1. Kumlazimisha Rais kufanya jambo asilopenda kufanya.
2. Kumlazimisha Rais asifanye analopenda kufanya.
3. Kumlazimisha Rais kuacha kuwa Rais kinyume na katiba, au kumlazimisha kuwa Rais kinyume na katiba.
Yote matatu hapo juu yakifanywa na chombo kingine utatumika msamiati mwingine.
Bunge kujiruhusu kuingiza msamiati wa ATAKE ASITAKE kwenye hansard ni kuanzisha utamaduni mpya wa:
1. Mhimili mmoja kuushambulia mhimili mwingine
2. Kumtisha Rais kuwa anaweza kulazimishwa kufanya au kutofanya kazi yake
3. Kuvichokoza vyombo vyenye wajibu wa kumlinda Rais wakiwamo wananchi ili vijiandae kumlinda Rais dhidi ya njama za kumlazimisha kufanya au kutofanya kazi yake.
4. Kuwalazimisha wananchi waharakishe jitihada za kuilinda katiba ili isitumiwe na watu kumlazimisha Rais "kutaka au kutotaka".
Mheshimiwa Rais bila kuingilia shughuli za bunge, asikalie kimya kauli hii.
Baba Askofu Bagonza
The truth is: He is not reliable, credible, and cannot be trusted. Where is the 5 mil to every village he promised? Where are the free and fair elections he promised to the Tanzanians and the international community?Msimamo wapi wewe ,kashaandaa watu wa Kupiga PRAKATATUMBA za kutaka kumuongezea ,yeye yupo behind the scene!!
Zaidi ya theluthi mbili ya wabunge wa CCM ni dizaini ya Babu Tale,hawakustahili kuwepo pale bali wako pale kwa hisani ya kura za kwenye mabegi hivyo lazima waunge mkono juhudi za kumuongezea muda ili na wao waendelee kubaki bungeni.Wewe unaamini Injinia wa Finance and Building Babu Tale atabadili katiba?
Hivi hata darasa la saba amefika huyu Tale, maana ile zero brain kabisaaaaaHao Mzee Baba ndio nguzo yake ya kubadili katiba,wao kazi yao wanaandikiwa maneno ya kusema na watapewa nafasi ya kuchangia sana huku kibindoni wakipewa 10m za asante.....Mpeni semina Injinia wa Finance maana ni mweupe sana bwashee.
Hivi hata darasa la saba amefika huyu Tale, maana ile zero brain kabisaaaaa
Huyo kazi yake ni kupiga makofi tu mainjinia wa ATAKE ASITAKE wapo nyuma ya pazia.Wewe unaamini Injinia wa Finance and Building Babu Tale atabadili katiba?
Babu Tale na Haji Manara wa Simba waliishia madrassa.Hivi hata darasa la saba amefika huyu Tale, maana ile zero brain kabisaaaaa
Lete ushahidi!Magu sio analazimishwa, bali yeye ndio analazimisha kwa mgongo wa nyuma kupitila hao wabunge.