Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Aongeze misharaha kwa kishindo uone atakavyoungwa mkono na makundi yote
 
Raisi kesharudia zaidi ya mara tano bagonza anzisha kampeni ya kuvaa barakoa hayo mengine yaache tu!
 
Hao Mzee Baba ndio nguzo yake ya kubadili katiba,wao kazi yao wanaandikiwa maneno ya kusema na watapewa nafasi ya kuchangia sana huku kibindoni wakipewa 10m za asante.....Mpeni semina Injinia wa Finance maana ni mweupe sana bwashee.
Babu Tale hana ushawishi na ile " nyota " aliyoitanguliza ni kama inamgomea hivi ndio maana haishi kulia!
 
Ha ha ha ha sisemi chochote ng'oo!! Sauti ya wabunge ni sauti ya wananchi na Mimi nipo kwa ajili ya wanachi
 
"ATAKE ASITAKE"

Bunge linapotumia msemo wa Rais "ATAKE ASITAKE" linaweza kumaanisha moja au yote Kati ya haya:

1. Kumlazimisha Rais kufanya jambo asilopenda kufanya.

2. Kumlazimisha Rais asifanye analopenda kufanya.

3. Kumlazimisha Rais kuacha kuwa Rais kinyume na katiba, au kumlazimisha kuwa Rais kinyume na katiba.

Yote matatu hapo juu yakifanywa na chombo kingine utatumika msamiati mwingine.

Bunge kujiruhusu kuingiza msamiati wa ATAKE ASITAKE kwenye hansard ni kuanzisha utamaduni mpya wa:

1. Mhimili mmoja kuushambulia mhimili mwingine

2. Kumtisha Rais kuwa anaweza kulazimishwa kufanya au kutofanya kazi yake

3. Kuvichokoza vyombo vyenye wajibu wa kumlinda Rais wakiwamo wananchi ili vijiandae kumlinda Rais dhidi ya njama za kumlazimisha kufanya au kutofanya kazi yake.

4. Kuwalazimisha wananchi waharakishe jitihada za kuilinda katiba ili isitumiwe na watu kumlazimisha Rais "kutaka au kutotaka".

Mheshimiwa Rais bila kuingilia shughuli za bunge, asikalie kimya kauli hii.

Baba Askofu Bagonza
Mwelekeo ni uleule. Ulianzia uchafuzi wa serikali za mitaa. Ukafuatiwa na uchafuzi mkuu. Na unahitimishwa na kubadili katiba kuhusu ukomo wa rais. Atake asitake, ila mhusika anataka sana. Penye nia kuna njia.
 
Msimamo wapi wewe ,kashaandaa watu wa Kupiga PRAKATATUMBA za kutaka kumuongezea ,yeye yupo behind the scene!!
The truth is: He is not reliable, credible, and cannot be trusted. Where is the 5 mil to every village he promised? Where are the free and fair elections he promised to the Tanzanians and the international community?
Let's wait to see.
 
Hao Mzee Baba ndio nguzo yake ya kubadili katiba,wao kazi yao wanaandikiwa maneno ya kusema na watapewa nafasi ya kuchangia sana huku kibindoni wakipewa 10m za asante.....Mpeni semina Injinia wa Finance maana ni mweupe sana bwashee.
Hivi hata darasa la saba amefika huyu Tale, maana ile zero brain kabisaaaaa
 
Back
Top Bottom