Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Bado, wale waliokuwa wanasema aongezewe muda wapo,Mungu kisha fanya kazi yake ili kuokoa watu wake na wakala wa ibilisi, nani wa kupinga sasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado, wale waliokuwa wanasema aongezewe muda wapo,Mungu kisha fanya kazi yake ili kuokoa watu wake na wakala wa ibilisi, nani wa kupinga sasa??
Yashangaza ndoto za wanadamu?Aombe Mungu awepo maana hana udugu nae, hata Nkuruzinza alitamani kuwepo lakini Mungu ana kazi nae zaidi. Na watu wema namna hii ndo wala hawacheleweshwaji na muumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
CharamiraSabaya
Nakubaliana kabisa na maono yako ingawa nilichelewa kuyaona. Aongezewe tu kwani hakuna namna.Rais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa
😆😅😄😃😂😁😀😅😅😆😆😄😃Nakubaliana kabisa na maono yako ingawa nilichelewa kuyaona. Aongezewe tu kwani hakuna namna.
Hahahaa jamani mnatufanya tucheke na huku hatupendiNakubaliana kabisa na maono yako ingawa nilichelewa kuyaona. Aongezewe tu kwani hakuna namna.
...Aombe Mungu awepo maana hana udugu nae, hata Nkuruzinza alitamani kuwepo lakini Mungu ana kazi nae zaidi. Na watu wema namna hii ndo wala hawacheleweshwaji na muumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu MATAGA Kawe Alumni alitusumbua Sana. Sijamuona tena JF naamini anaona aibuRais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa
Sawa,kapewa kifurushi cha HALICHACHI kabisa!!Rais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa
Yule jamaa anasemaga, "Wakati maono haya yanatolewa wengine hatukuyasoma, tunaomba yarudiwe yarudiweee..!!"Rais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa