Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy Aliyewahi Kuwa Mbunge Wa Jimbo La Nkasi
Akaja Bungeni Na Hoja Binafsi Hayati JPM Atake Asitake Wamlazimishe Atawale Milele!!😃😂😁😀


Hapo Alikuwa Mjengoni Akipiga Soga
Ingekuwa Shule Tunasema Anasumbua Darasa Mpiga Kelele 🙂☺


Hao Ndiyo Hazina Ya Viongozi Wa Ccm 🚮
 
Back
Top Bottom