Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ajabu sana, watu wamezubaishwa na wamekubali kuzubaa haswaa, kila siku wanapigiwa ngoma ya ukabila wao ni kukata viuno tu, wakija kushtuka close to 2025 ndio waanze kuimba Katiba Mpya.
Wapo busy kumtukana Magufuli
Wanapambana na Marehemu...kuanzia yule kiongozi wao naona hawajitambui.
 
Kwa hiyo unamponda aliyepigiwa debe au waliokuwa wapiga debe?
 
Tatizo mimi naona labda kuna watu wengi wamechotwa akili na propaganda za Magufuki, wanampenda Magufuli, na wapinzani hawapendi hilo, wanaona bado kuna vita na mfu ambaye ana influnce watu bado.

Na katikanm kufanya vita hivyo, wanamfufua Magufuli, wanampa nguvu zaidi, wanampa uhai hata baada ya kufa.

The law of unintended consequences ina apply hapa.

Mtu anaona anamsema vibaya Magufuli, anamtukana, kumbe kwa kumtukana vile mfu, ndiyo anajionesha hana hoja, anajionesha Magufuli kamkera sana, anajiinesha kwamba he can't get over Magufuli even when Magufuli is dead for over a year. Anajionesha asivyo na mental fortitude. Anajionesha asivyo na mental fortitude.

Watu wasio wa sophistication wanaona huyu Magufuli ana nguvu kama jini.

Hata baada ya kufa wapinzani wake hawaishi kumtaja.

Watu walio na sophistication wanaona hawa wapinzani wanashindwa ku focus kwenye mambo ya kitaasisi kama katiba mpya, wanaangalia mtu bado mpaka leo.

In the final analysis, matusi dhidi ya Magufuli yana backfire.

Yanampandisha chart Magufuli, na kuwashusha wanaomtukana.
Tunamtukana mtu mfu Ili dhambi yake iwaumize ndugu zake na waone kuaibishwa kwao.

Mchuma janga hula na wakwao.

Wakati wa campaign 2020 eneo la msata nilimuona alikuwa ameisha sans kachoka maana na ukimwi alikuwa nao.

Sasa watu waliambiwa waweke ulinzi imara mpaka mapori ya mto wami akafika kihangaiko amechoka.

Tukaendelea kuomba mungu amuondoe haraka.

Ndani ya siku 90 maombi yakajibiwa.

Tulikuwa na rais wa hovyo sana yaani aibu.
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Sasa mtu alishadanja bado unamfuatilia wa nini? Ulikuwa wapi kuleta hii mada wakati wa kampeni?
 
Hii ndio tafsiri halisi ya kufilisika kihoja😅 na kisiasa! Mnaendesha kampeni dhidi ya marehemu
Well, wewe unachofanya nini sasa au haujui maana ya kampeini🤣🤣

You are accusing people of the same sin you are committing. The only difference is that you don't know while the accused know their mission which is not about the person but his government wrong doings and holding it accountable for what they did. The other part is to build a case from his governance to justify the need for transformational changes.

Yours is just mere cries of Marehemu, Marehemu........ What has Marehemu to do with us? Hopeless arguments 🥲🥲
 
Tunamtukana mtu mfu Ili dhambi yake iwaumize ndugu zake na waone kuaibishwa kwao.

Mchuma janga hula na wakwao.

Wakati wa campaign 2020 eneo la msata nilimuona alikuwa ameisha sans kachoka maana na ukimwi alikuwa nao.

Sasa watu waliambiwa waweke ulinzi imara mpaka mapori ya mto wami akafika kihangaiko amechoka.

Tukaendelea kuomba mungu amuondoe haraka.

Ndani ya siku 90 maombi yakajibiwa.

Tulikuwa na rais wa hovyo sana yaani aibu.
Simple minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

Mngejikita kubadilisha katiba na tume ya uchaguzi, labda mngezuia kupata Magufuli mwingine.

Sasa hivi mnamtukana Magufuli mfu, wakati Samia anawapiga mabao.

Mikutano ya hadhara mmenyimwa, katiba mpya mmenyimwa, tume huru mmenyimwa, watu bado wanatekwa.

SMH.
 
Well, wewe unachofanya nini sasa au haujui maana ya kampeini🤣🤣

You are accusing people of the same sin you are committing. The only difference is that you don't know while the accused know their mission which is not about the person but his government wrong doings and holding it accountable for what they did. The other part is to build a case from his governance to justify the need for transformational changes.

Yours is just mere cries of Marehemu, Marehemu........ What has Marehemu to do with us? Hopeless arguments 🥲🥲
We ni mufilisi
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Ni kweli Magufuli alikuwa Sadist kiuhalisia. Na tunaomfahamu tangu ujana wake tulishangaa kupewa nafasi kubwa ya kuamua hatima ya maisha ya watu. Tulijua lazima ataumiza, ataua, atafunga, atapoteza watu. Lakini ya kwake yameisha hawezi kufanya tena.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Lissu alisema ni gari ya mkaa, tripu shamba tripu garage
 
Simple minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

Mngejikita kubadilisha katiba na tume ya uchaguzi, labda mngezuia kupata Magufuli mwingine.

Sasa hivi mnamtukana Magufuli mfu, wakati Samia anawapiga mabao.

Mikutano ya hadhara mmenyimwa, katiba mpya mmenyimwa, tume huru mmenyimwa, watu bado wanatekwa.

SMH.
Acha kukariri weweee...... elewa falsafa ya unachonukuu sio kusema tu kisa umesikia au kusoma mahali.

Ideas originate and get defined by people.......

We invent,discuss and learn new ideas through people. No idea that just come from the air.

We discuss people in connection to the greatness and impact of their ideas. We discuss Lincoln, Plato, Archmedes, Mwl. Nyerere, Mzee Madiba etc. not as people but great sources of developmental ideas and adapt their creative thinking to transform generations and advance our living with or into new ways.

Open up your mind to learn from the learned, stop cramming the writings....
 
Acha kukariri weweee...... elewa falsafa ya unachonukuu sio kusema tu kisa umesikia au kusoma mahali.

Ideas originate and get defined by people.......

We invent,discuss and learn new ideas through people. No idea that just come from the air.

We discuss people in connection to the greatness and impact of their ideas. We discuss Lincoln, Plato, Archmedes, Mwl. Nyerere, Mzee Madiba etc. not as people but great sources of developmental ideas and adapt their creative thinking to transform generations and advance our living with or into new ways.

Open up your mind to learn from the learned, stop cramming the writings....
Ukisema Magufuli was a walking carcass umemdiscuss Magufuli in connection with idea gani sasa hapo?

Vitriolic hate?
 
Back
Top Bottom