Kiranga nawe umeingia kwenye mkondo wa muanzisha uzi.Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.
Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.
Nuance is a rare commodity.
Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.
We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.
I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?
Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.
Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
Hichi unachokifanya hapa si uungwana hata kidogo, acha kumdhalilisha Marehemu.Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.
Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Mkuu, na wala usiamini kamwe kwamba kufa kwa mtu ndio mwisho wa influence yake. Wanaomtukana Magufuli ni watu sophisticated and they know what they are doing.Tatizo mimi naona labda kuna watu wengi wamechotwa akili na propaganda za Magufuki, wanampenda Magufuli, na wapinzani hawapendi hilo, wanaona bado kuna vita na mfu ambaye ana influnce watu bado.
Na katikanm kufanya vita hivyo, wanamfufua Magufuli, wanampa nguvu zaidi, wanampa uhai hata baada ya kufa.
The law of unintended consequences ina apply hapa.
Mtu anaona anamsema vibaya Magufuli, anamtukana, kumbe kwa kumtukana vile mfu, ndiyo anajionesha hana hoja, anajionesha Magufuli kamkera sana, anajiinesha kwamba he can't get over Magufuli even when Magufuli is dead for over a year. Anajionesha asivyo na mental fortitude. Anajionesha asivyo na mental fortitude.
Watu wasio wa sophistication wanaona huyu Magufuli ana nguvu kama jini.
Hata baada ya kufa wapinzani wake hawaishi kumtaja.
Watu walio na sophistication wanaona hawa wapinzani wanashindwa ku focus kwenye mambo ya kitaasisi kama katiba mpya, wanaangalia mtu bado mpaka leo.
In the final analysis, matusi dhidi ya Magufuli yana backfire.
Yanampandisha chart Magufuli, na kuwashusha wanaomtukana.
Jamaa alikuwa anawekewa feni kumpuliza hata akiwa nje kwenye kampeni,alikuwa ameishaoza kabisa ndani
mabaka unadanganya mkuuMagufuli alikuwa walking carcass. Yaani ngozi ilikuwa na mabaka kama mtu mwenye herpes zoster, huku akiwa na UKIMWI halafu mentally disturbed. Angeponaje na COVID-19?? Angalia alivyozungukwa na ma ACs hapo
Magufuli alikuwa walking carcass. Yaani ngozi ilikuwa na mabaka kama mtu mwenye herpes zoster, huku akiwa na UKIMWI halafu mentally disturbed. Angeponaje na COVID-19?? Angalia alivyozungukwa na ma ACs hapo
Shetani anatajwa mara nyingi zaidi kwa siku, kwani kutajwa ndio nini🤔Sasa mtu alishadanja bado unamfuatilia wa nini? Ulikuwa wapi kuleta hii mada wakati wa kampeni?
Come on!
Nothing is done yet🤫
Tell us
Yuko wapi Azory Gwanda?
Nani alimteka Mo na wengine wengi?
Watu waliopotea wote, walipoteaje?
Sababu za uvamizi wa clouds?
Viroba vya maiti kwenye fukwe zilikuwa za nani?
Nape alitishiwa na bastola mchana kweupe?
Watu walinyanganywa pesa zao kwenye akaunti kwa lazima na wengine kufilisiwa, na nani na kwa nini?
n.k. n.k.
Unless one is an idiot, she can dare to say it is done🤔 All is fresh, nothing is done at all......
Yeye aliposema kama huwezi lipa Tsh 500 kwenye choo cha TANROADS Kaa na mavi yako nyumbani, je ulimkanya?
Hivi alipokuwa anaminya uhuru wa habari na kusaka wakosoaji na kuwabambika kesi za kutakatisha fedha ulitegemea nini? Tulikaa kimya kwa kuwa tuliogopa kuuliwa kama alivyomuua Ben saanane na Azory Gwanda. Au alivyomshambulia Tundu Lissu kwa risasi.
Huu ndiyo wakati wetu wa kumsema na HATUPOI kamwe Wala siyo FRUSTRATION kama unavyodai.
Hivi kweli wewe kwa akili yako Kiranga kweli Magufuli anatuibia kura mwaka 2020 halafu anaweka wabunge wa kuja kubadili ukomo wa utawala kwa Afya ile kweli ilikuwa sawa?
Nashukuru kwa kusema hili.Nami namuunga mkono Zitto, wote mnaomtetea mkazikwe naye Chato including wewe Kiranga
He created hate to our county, let him reap the fruits of what he created through you his followers and
Hovyo sana hawa jamaa.Hii ndio tafsiri halisi ya kufilisika kihoja😅 na kisiasa! Mnaendesha kampeni dhidi ya marehemu
Piganeni na maiti hivihivi.
2025 mnapigwa bao tena.
Simple factJamani mbona hivi?
Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?
Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?
Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?
Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?
What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?
We have to be careful to not become what we despise.
Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.
Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.
Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Sasa mbona kama jamaa amefuta ile comment. Sijapenda.Man!!!🤣🤣🤣, umenifanya siku yangu ikaenda poa sana!!
Hayataisha haki, yanaisha kirahisi tu hivi kisa mtu ulikuwa tu na maslahi binafsi ya upendeleo kila mtu akubaliane na wewe tu, wakati watu wengi waliumizwa!
Kuna watu wamekuja eti na Umoja Party wa Magufuli, wamefeli sana kwa kweli😅😅😅!
Kuna Mengi SanaSasa hayo ma Air Condition ya nini kwenye mkutano wa wazi? Tumezowea kuyakuta maofsini kule kwenye majengo ya TRA, PSSSF na Bandari.
Hakika huyu alikuwa trip shamba trip garage. Asingekatiza kwa COVID 19
Mkuu, jiwe is a fair game.Kwanza kabisa, miminsijamt3tea Magufuli.
Ila, wewe una tatizo la kusoma kwa ufahamu.
Wewe ni ng7mbaru.
Watu kama wewe ndio niliowasema nilioiandika kwamba you are crude, unspophisticated and medievally tribal.
Huwezi kuelewa ninachoandika.
Nikiandika in defense of civility na kusema huyu Magufuli kashakufa, hakuna point kumdhalilisha, unaona namtetea Magufuli.
I have always been saying "Magufuli is a country bumpkin" hapa alivyokuwa hai.
Sasa utasemaje mimi namtetea Magufuli?
Tatizo lenu hamna nuance.
You are like apes.
Hatuwezi kuelewana.
I might as well write in Greek.