Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Tukisema watanzania hatuna shukrani kwa Mungu, tutakosea? Hebu tuepuke laana hizi. Kwani ukiacha utapungukiwa na ninini?
 
U
Kati yenu mnayemlalamikia mfu na mimi ninayewaambia mambo ya kubadili taasisi nani analialia?

Endeleeni hivi hivi, CCM watawatawala mpaka mfe na watoto zenu nao wakiendelea hivi watatawaliwa hivyo hivyo.

Mark
Nadhani shida sio ccm kutawala shida ni viongozi wapuuzi wa haki za raia na katiba. Hawa lazina wasemwe, wabagazwe, wajihisi vibaya ila kama wamekufa watumiwe kama reference.
Shida yako ni nini hapo?
 
Are you sure hatujawahi fiwa?
What about those Magufuli killed and others in bags at beaches?
Ninyi ndio mna machungu sana?
So kuisema Maiti left right center inatusaidia nini,ndugu zetu walipass lakini pia hawakua Malaika,je watu wakishinda wamewatusi mtajiskiaje.

Tazameni sana yawatokayo,yanakuja na madhara yake,naamini hata wewe ni kijana mdogo,haitakusaidia.

Magufuli ameshahukumiwa kwa matendo yake,na MUNGU ndio final judge,alipo ni mahali sahihi kama Kuna mabaya MUNGU ajua yote.

MUNGU hataki tuhukumu,mbona mmegeuka wahukumu?
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Takataka
 
What a brainless idiot in you? Is a dead man reaping anything? What are your insults doing to him. If at all you couldn't criticise him while he still was alive, then what impact on him will your critics have?
You heedless fools are so much disgusting and nauseating. We've national important things to focus on rather than discussing a person who can neither wake up and defend himself nor change whatever the bad he did.
You claim to have national important things and still you come here,read my post and write a reply. If you think I am brainless idiot then you are boombclaat
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Jiwe was not immortal,he passed just like anybody else
 
Hatuna shida na Magufuli lakini malofa wafuasi wa praise team ambao leo wanataka kuendeleza kasumba ile ile ya Mzalendo wao ya kufumba watu midomo. Pia Magufuli alikuwa kiongozi alivyoendesha tasisi ya urais ni jambo la kuendelea kujadiliwa hata kama hayupo. Kuna funzo endelevu kwa pande zake mbili za uzuri na ubaya bahati mbaya ni kuwa mabaya yake kijamii yananuka sana hadi kunajisi mazuri yake akiwa kwenye taasisi yetu hivyo wafuasi kujisikia vibaya inapotibukiwa hiyo harufu chafu.

Hakuna kosa wala haramu yoyote kumsema hata kama kafa, amekufa yeye sio taasisi yetu ya Urais aliyoiachia najisi, tukiusema unajisi huu ili usuguliwe na kufutwa kabisa na waliochangia najisi hii wachunguzwe msituzibe midomo kwa kisingizio cha kasha jifia. Wajibu haufi, wajibu unabaki kuishi milele.

Alitunyamazisha kwa mateka, risasi na kutuwekea tiss wa ovyo mitaani tusinongone, aki-record watu, akisambaza wasiojulikana, akipoteza watu, akihujumu bunge, chaguzi n.k. mkamuinua kama sanamu yenu akawa juu akajisahau mkamuaminisha atatawala milele kumbe mnamdamganya na kudanganyika, sasa hawezi na nyie hamuwezi tena kutupumbaza na kutanya mazezeta kama mlivyofanywa nyinyi, acheni tumsema kama mnaumia saaaana kwa mapenzi mlio nayo kwake anaposemwa basi "......nendeni Chato mkazikwe naye mkaa pamoja naye....." By ZZK.

Huko huko mnaweza kubadili hata katiba ili aendelee kuwaongoza maana huko hatutaweza kuwaingilia wala kuwasema.
Mwambie huyo zitto akazikwe pembeni ya kaburi la mamake si alimpenda sana?
 
Inaamaana kikwete hana baya hata moja au ndio vita ya team msoga na sukuma gang inaendelea.
 
Kigogo2014 alikuwa anamtukana Jiwe matusi ya nguoni kwa sababu ya kubomolewa nyumba yake!
 
So kuisema Maiti left right center inatusaidia nini,ndugu zetu walipass lakini pia hawakua Malaika,je watu wakishinda wamewatusi mtajiskiaje.

Tazameni sana yawatokayo,yanakuja na madhara yake,naamini hata wewe ni kijana mdogo,haitakusaidia.

Magufuli ameshahukumiwa kwa matendo yake,na MUNGU ndio final judge,alipo ni mahali sahihi kama Kuna mabaya MUNGU ajua yote.

MUNGU hataki tuhukumu,mbona mmegeuka wahukumu?
Pengine watu wanataka viongozi waliopo sasa waone haja ya kuepuka hili analokipata huyu akiwa mfu
 
At the end of the day he was dust and unto dust he returned.

We are all dust, we have no right to mock each other to that extent let alone those who have passed on no matter how hateful we are trying to be.

Unto dust we shall return, lest we forget that we are not immortal.
 
Pengine watu wanataka viongozi waliopo sasa waone haja ya kuepuka hili analokipata huyu akiwa mfu
But hawaskii,unless mnataka kuumiza Mama Janeth na familia yake.
Huyu Mama wa watu hata kuongea hajui,alikeep low profile mme wake akiwa Rais,very humble,ndio mnataka askie vibaya?
 
Mkuu,

Hata mimi Magufuli sikumpenda, utawala wake sikuupenda.

Na bado naweza kuwa nuanced enough kuona habari za kumuita Magufuli "walking carcass" si tu hazina tija, bali pia zinaonesha frustrations. Ni kama habari za mtu ana hasira halafu hajui cha kufanya zaidi ya kuitukana maiti.

Hivyo, si kika anay3k3mea lugha hizi ni mfuasi wa Magufuli. Tuch3 hizi siasa simplistic za kukisa n8ance za kusema mtu akikemea ujinga wa lugha chafu dhidi ya Magufuki, basi ni mfuasi wa Magufuli.

Mimi naweza kuwa sijamkubali Magufuli na sikubali lugha chafu zisizo na tija dhidi yake, hususan sasa ambapo ameshafariki.

Ningewaona hawa watu wa maana sana kama wangejikita kuwa na katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais ili ujinga wa utawala wa Magufuli usijirudie.

Kumtukana mtu aliyekwishajifia zake hakusaidii kitu.

Zaidi, kunatupa maswali tu kwa nini huyu mtu anamtukana mtu ambaye hana influence mpya tena katika jamii?

Unataka kupigana na maiti ya Magufuli?
Binafsi hata mimi nimeshangazwa na maneno ya kifedhuli ya Zitto Kabwe kwa wafuasi wa Magufuli. Wakati kiukweli Zitto hajaumizwa kuliko alivyoumizwa Lissu, Mbowe ,Lema au hata Mdude. Lakini hao wote hawajatoa kauli za kifedhuli za Zitto ambaye alipiga kimya wenzake wakisulubiwa.
 
M
Hii ni project maalumu bwashee!

Wiki ijayo mafuta yanapanda tena bei hivyo Zitto anaanzisha mijadala ya " danganya toto"
Mafuta yanapanda au yatapanda kwa kuwa muda mrefu serikali haikushughulikia ipasavyo utafutaji,uchimbaji wa nishati hiyo.Hata pale mafuta yalipokuwa yana bei ya chini hatukuweza kununua mafuta ya akiba ndefu,na wala hatuna matenki ya kuhifadhi mafuta angalau ya matumizi wa mwaka mmoja.
Sasa tunakumbuka shaka asubuhi.
Nishati ndio priority ya nchi zinazojitambua.
 
Piganeni na maiti hivihivi.

2025 mnapigwa bao tena.
Kwani wanaompinga Magufuli ni wapinzani!? Bulembo mpinzani?, Makamba mpinzani!? Samia anayeponda falsafa za Magufuli ni mpinzani!? Nape mpinzani!? Wapinzani wa Magufuli wa kweli ni wenzake wa ccm waliokuwa wanangoja afariki, chama kirudi kwa wenye nacho kama Nape alivyosema.
 
Back
Top Bottom