Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
Hivi wewe unajikutaga nani kwenye hii forum?
Kudadadeki zako chagua mdole ✋
 
Hichi unachokifanya hapa si uungwana hata kidogo, acha kumdhalilisha Marehemu.

..Grow up....
Marehemu alimdhalilisha Mwenyezi Mungu, allikuwa mbaguzi kwa watu waziwazi, alijivika sifa ya uunga ati akasema katika watanzania zaidi ya mil 60 aliowauba Mwenyezi Mungu hakuona anayeweza kufanya afanyayo isipokuwa yeye tu. Hii kufuru zaidi ya dharau.

Aliitwa mungu, yesu n.k.

Haya tuseme yalikuwa ni uungwana, hayakuwa udhalilishaji kwa waja wanaomwabudu na kumsujudu Mungu wao kila uchao. Isipokuwa mrehemu mzalendo wenu JPM ndio watu wanakuwa sio waungwana na kuwa wadhalilishaji.

Mnachomwa dozi ya sindano za Kristapeni na kwinini ili mpone kifafa kisiwarudie tena.
 
Marehemu alimdhalilisha Mwenyezi Mungu, allikuwa mbaguzi kwa watu waziwazi, alijivika sifa ya uunga ati akasema katika watanzania zaidi ya mil 60 aliowauba Mwenyezi Mungu hakuona anayeweza kufanya afanyayo isipokuwa yeye tu. Hii kufuru zaidi ya dharau.

Aliitwa mungu, yesu n.k.

Haya tuseme yalikuwa ni uungwana, hayakuwa udhalilishaji kwa waja wanaomwabudu na kumsujudu Mungu wao kila uchao. Isipokuwa mrehemu mzalendo wenu JPM ndio watu wanakuwa sio waungwana na kuwa wadhalilishaji.

Mnachomwa dozi ya sindano za Kristapeni na kwinini ili mpone kifafa kisiwarudie tena.
Magufuli hayupo ila hakauki kwenye vinywa vyenu...jamaa kafa ila bado anaishi kwenye 'vinywa vyenu'.

Watu wazima wanapambana na aliyekwisha kuzikwa hata aibu hamna.

Badala ya kurekebisha alipokosea yeye, mnapambana na asiyekuwa hata na hayo madaraka tena

Endeleeni kumsema huenda mkapona majeraha yenu.

...Shame on you...
 
Kati yenu mnayemlalamikia mfu na mimi ninayewaambia mambo ya kubadili taasisi nani analialia?

Endeleeni hivi hivi, CCM watawatawala mpaka mfe na watoto zenu nao wakiendelea hivi watatawaliwa hivyo hivyo.

Mark my words.
Tusipangiane majukumu. Wewe shughulikia Katiba, sisi tuachie mtu wetu tuhangaike naye maana ameacha wajinga wengi sana.
 
Sawa na kusema Archmedes was a Scientist. Neno moja fupi lenye kutambulisha sifa yake na kuvuta hisia za kujifunza. Nikisema wewe ni carcass natumia lugha ya picha kwa neno moja tu kukutambulisha sifa chafu mithili ya mzoga, haukufaa. Inavuta hisia za kuwajenga wengine wasioze kama wewe na kuwa harufu chafu na haribifu kwa jamii isiyo na ustawi wowote. Simply living with carcass characteristics
Aisee Kweyunga. Umepiga upper cut mkuu.
Need we say more?
 
Binadamu wote ili mradi unaishi ni walking carcass, maana wote njia yetu ni kifo tunatofautiana zamu tu za kutangulia.......kiburi cha uzima kisikupofushe ukaongea kufuru.
Ni kweli binadamu wote tutakufa, lakini anapotangulia Dikteta aliyetaka kutawala milele ni sherehe kwetu.
 
Hichi unachokifanya hapa si uungwana hata kidogo, acha kumdhalilisha Marehemu.

..Grow up....
Yeye alipokuwa anatudhalilisha kwa miaka 5 yote ulichukua hatua gani? Alifuta mikutano ya vyama vya siasa, alibana uhuru wa maoni, aliiagiza Mahakama ziamue anavyotaka na akaliendesha bunge kwa remote.

Ni zamu yake tunapiga spana mpaka afe mara ya pili huko huko kaburini
 
Kwanza sina shida na kumjadili Magufuli, but why this ignoble "walking carcass" talk? Tena kwa mtu aliyekwishajifia zake huko.

Pili, ikiwa mnajificha online tu na mnasubiri mtu afe ndiyo mumseme, you guys are a bunch of cowards.

Ilitakiwa mtu amtukane Magufuli to his face, tujue kweli you mean business.

Otherwise, you are just a bunch of keyboard warriors, a bunch of bitches getting online feel good high without any real work.

Mnamshambulia mfu wakati mpaka rais wa sasa serikali yake inateka watu.

What are you doing about that?

And by doing, I don't mean social media posts.

What are you actually doing to change the system?
Kazi ya kwanza nadhani ni kuwavua nguo watu mnaoshabikia ujinga wa viongozi wapuuzi wa katiba ya nchi na haki za binadamu.
Mbili, ni kuipigania katiba ya wananchi
Kwanza sina shida na kumjadili Magufuli, but why this ignoble "walking carcass" talk? Tena kwa mtu aliyekwishajifia zake huko.

Pili, ikiwa mnajificha online tu na mnasubiri mtu afe ndiyo mumseme, you guys are a bunch of cowards.

Ilitakiwa mtu amtukane Magufuli to his face, tujue kweli you mean business.

Otherwise, you are just a bunch of keyboard warriors, a bunch of bitches getting online feel good high without any real work.

Mnamshambulia mfu wakati mpaka rais wa sasa serikali yake inateka watu.

What are you doing about that?

And by doing, I don't mean social media posts.

What are you actually doing to change the system?
Kwanza sina shida na kumjadili Magufuli, but why this ignoble "walking carcass" talk? Tena kwa mtu aliyekwishajifia zake huko.

Pili, ikiwa mnajificha online tu na mnasubiri mtu afe ndiyo mumseme, you guys are a bunch of cowards.

Ilitakiwa mtu amtukane Magufuli to his face, tujue kweli you mean business.

Otherwise, you are just a bunch of keyboard warriors, a bunch of bitches getting online feel good high without any real work.

Mnamshambulia mfu wakati mpaka rais wa sasa serikali yake inateka watu.

What are you doing about that?

And by doing, I don't mean social media posts.

What are you actually doing to change the system?
 
Yeye alipokuwa anatudhalilisha kwa miaka 5 yote ulichukua hatua gani? Alifuta mikutano ya vyama vya siasa, alibana uhuru wa maoni, aliiagiza Mahakama ziamue anavyotaka na akaliendesha bunge kwa remote.

Ni zamu yake tunapiga spana mpaka afe mara ya pili huko huko kaburini
Kwa hiyo mnalipa kisasi kwa aliyekwisha kuzikwa ?....itakuwa mna ugonjwa wa akili nyie.
 
Wapi amesema alikuwa sawa kufanya hayo???

Hivi nyie..kutokuwa sawa kwa magufuli ndiko kunakofanya watu waendelee kuwa wajinga kiasi hiki cha kuendelea kutukana marehemu??
Haya matusi yanasaidia nini sasa??
Mtu alishakufa!
Ni sawa na firauni anapolaaniwa kwa utawala fedhuli japo ashakufa
 
Ni sawa na firauni anapolaaniwa kwa utawala fedhuli japo ashakufa
Hizo laana zinatusaidia nini kama taifa??
Zinasaidia nini kwenye mfumuko wa bei??
Zinasaidia nini kwenye hali ngumu za maisha za watanzania?
 
Marehemu alimdhalilisha Mwenyezi Mungu, allikuwa mbaguzi kwa watu waziwazi, alijivika sifa ya uunga ati akasema katika watanzania zaidi ya mil 60 aliowauba Mwenyezi Mungu hakuona anayeweza kufanya afanyayo isipokuwa yeye tu. Hii kufuru zaidi ya dharau.

Aliitwa mungu, yesu n.k.

Haya tuseme yalikuwa ni uungwana, hayakuwa udhalilishaji kwa waja wanaomwabudu na kumsujudu Mungu wao kila uchao. Isipokuwa mrehemu mzalendo wenu JPM ndio watu wanakuwa sio waungwana na kuwa wadhalilishaji.

Mnachomwa dozi ya sindano za Kristapeni na kwinini ili mpone kifafa kisiwarudie tena.
Kweyunga unamwaga madini ya kutisha kuliko hata aliyeanzisha thread. Pamoja sana Mkuu, nimekukubali. Maana hata huyu Kiranga muumini wa Magufuli umekwishampoteza kwenye hoja zake zote
 
Hatuna shida na Magufuli lakini malofa wafuasi wa praise team ambao leo wanataka kuendeleza kasumba ile ile ya Mzalendo wao ya kufumba watu midomo. Pia Magufuli alikuwa kiongozi alivyoendesha tasisi ya urais ni jambo la kuendelea kujadiliwa hata kama hayupo. Kuna funzo endelevu kwa pande zake mbili za uzuri na ubaya bahati mbaya ni kuwa mabaya yake kijamii yananuka sana hadi kunajisi mazuri yake akiwa kwenye taasisi yetu hivyo wafuasi kujisikia vibaya inapotibukiwa hiyo harufu chafu.

Hakuna kosa wala haramu yoyote kumsema hata kama kafa, amekufa yeye sio taasisi yetu ya Urais aliyoiachia najisi, tukiusema unajisi huu ili usuguliwe na kufutwa kabisa na waliochangia najisi hii wachunguzwe msituzibe midomo kwa kisingizio cha kasha jifia. Wajibu haufi, wajibu unabaki kuishi milele.

Alitunyamazisha kwa mateka, risasi na kutuwekea tiss wa ovyo mitaani tusinongone, aki-record watu, akisambaza wasiojulikana, akipoteza watu, akihujumu bunge, chaguzi n.k. mkamuinua kama sanamu yenu akawa juu akajisahau mkamuaminisha atatawala milele kumbe mnamdamganya na kudanganyika, sasa hawezi na nyie hamuwezi tena kutupumbaza na kutanya mazezeta kama mlivyofanywa nyinyi, acheni tumsema kama mnaumia saaaana kwa mapenzi mlio nayo kwake anaposemwa basi "......nendeni Chato mkazikwe naye mkaa pamoja naye....." By ZZK.

Huko huko mnaweza kubadili hata katiba ili aendelee kuwaongoza maana huko hatutaweza kuwaingilia wala kuwasema.
You must be stupid,frustrated,aggressive and a nincompoop to think in this way. Sorry!
 
Mmmh binadamu sisi!!
Hakuna hata ajuae sekunde moja ijayo atakuaje Bali MUNGU tu.

Tazameni sana yawatokayo yasijegeuka miiba kwenu.
Kuongea kufurahisha genge ila amini kila mnachosema kina impact.
Sijui mmekulia malezi gani,mmegeuka wasema ovyo,kurusha matusi ovyo hivi hamskii aibu?
Surely mnatukana Mtu aliyelala?
Nahisi hamjawahi fiwa,ila tu omba yasikukute.

Tuko safarini wote,mmegeuka Taifa la kutusi maiti!
Ninyi kiburi cha uzima kinawadanganya.
Wengi wenu ni vijana wadogo,na hamjui kitu mnachojitengenezea.
Anyway endeleeni......
 
Logic
Hawa ngumbaru wengine hawajui hata kusoma kwa ufahamu.

Sitegemei wakuelewe wewe au mimi.

Halafu wakiwa online kelele nyiingi.

Wakiambiwa waandamane wote wanafyata mikia.

Bado wako kwenye kumshambulia Magufuli mfu, wakati Samia anawapiga mpaka kesho!

Stupid cowards.
Logic yako ni kutaka watu wenye kutofautiana kimtazamo waandamane ili iweje?

Watu huonesha hisia na misimamo yao kwa njia tofauti kwa jinsi walivyochagua.

Sasa binafsi si kuelewi kwa nini unataka watu watumie njia yako ya maandamano badala ya kwenye social platform.
Nini kinakuuma hapa?
 
Ni kweli binadamu wote tutakufa, lakini anapotangulia Dikteta aliyetaka kutawala milele ni sherehe kwetu.
Hawa waliopo kama hawana tamaa ya madaraka iweje wanakwepa mchakato wa katiba mpya.....
 
Ni kweli Magufuli alikuwa Sadist kiuhalisia. Na tunaomfahamu tangu ujana wake tulishangaa kupewa nafasi kubwa ya kuamua hatima ya maisha ya watu. Tulijua lazima ataumiza, ataua, atafunga, atapoteza watu. Lakini ya kwake yameisha hawezi kufanya tena.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Vivo hivyo kwa Firauni ila bado tunamsema
 
Mmmh binadamu sisi!!
Hakuna hata ajuae sekunde moja ijayo atakuaje Bali MUNGU tu.

Tazameni sana yawatokayo yasijegeuka miiba kwenu.
Kuongea kufurahisha genge ila amini kila mnachosema kina impact.
Sijui mmekulia malezi gani,mmegeuka wasema ovyo,kurusha matusi ovyo hivi hamskii aibu?
Surely mnatukana Mtu aliyelala?
Nahisi hamjawahi fiwa,ila tu omba yasikukute.

Tuko safarini wote,mmegeuka Taifa la kutusi maiti!
Ninyi kiburi cha uzima kinawadanganya.
Wengi wenu ni vijana wadogo,na hamjui kitu mnachojitengenezea.
Anyway endeleeni......
Are you sure hatujawahi fiwa?
What about those Magufuli killed and others in bags at beaches?
Ninyi ndio mna machungu sana?
 
Back
Top Bottom