kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Habari ndugu zangu wana jamiiforums,
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Rais wetu JPM kwa yote makubwa aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya ambayo hayakuwahi kufanyika hapa nchini
Sifa zake zinatosha kabisa kuitwa Rais Bora barani Afrika.
Jana wakati kikao cha bunge kikiendelea my kessy (mbunge wa ccm alikuja na hoja ya kumtaka mh rais aendelee kukaa madarakani baada ya muda wake kuisha.
Hoja yake ilipewa nguvu na spika wa bunge mh job ndugai pale aliposema kwa vyovyote mh rais ataendelea kubaki mdarakani hata asipotaka ( watamshinikiza ) .
Mimi Kama raia wa Tanzania napingana na hoja hiyo kwani mh rais kwa kinywa chake mwenyewe alitamka ya kwamba hataweza kufanya kitu Kama hicho.
Wasiwasi wangu unakuja kwanini wamlazimishe mh rais wetu mpendwa While hataki?
Kuna Nini nyuma ya pazia?
Ninashauri hao waheshimiwa wanaotaka kulazimisha mh rais abaki madarakani wachunguzwe huenda wakawa na ajenda za siri ambazo wanaona akija mtu mwingine hawataweza kuziendeleza.
Mods msifute Uzi wangu sahihisheni palipo na makosa.
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Rais wetu JPM kwa yote makubwa aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya ambayo hayakuwahi kufanyika hapa nchini
Sifa zake zinatosha kabisa kuitwa Rais Bora barani Afrika.
Jana wakati kikao cha bunge kikiendelea my kessy (mbunge wa ccm alikuja na hoja ya kumtaka mh rais aendelee kukaa madarakani baada ya muda wake kuisha.
Hoja yake ilipewa nguvu na spika wa bunge mh job ndugai pale aliposema kwa vyovyote mh rais ataendelea kubaki mdarakani hata asipotaka ( watamshinikiza ) .
Mimi Kama raia wa Tanzania napingana na hoja hiyo kwani mh rais kwa kinywa chake mwenyewe alitamka ya kwamba hataweza kufanya kitu Kama hicho.
Wasiwasi wangu unakuja kwanini wamlazimishe mh rais wetu mpendwa While hataki?
Kuna Nini nyuma ya pazia?
Ninashauri hao waheshimiwa wanaotaka kulazimisha mh rais abaki madarakani wachunguzwe huenda wakawa na ajenda za siri ambazo wanaona akija mtu mwingine hawataweza kuziendeleza.
Mods msifute Uzi wangu sahihisheni palipo na makosa.