Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
Tuache masihara!
Maguuuuu hakufaa kuwa Rais, ni fisadi, korofi, katili, mpenda makuu sana.

Bora Samia kuliko like jamaa la chattle
 
Sasa hayo ma Air Condition ya nini kwenye mkutano wa wazi? Tumezowea kuyakuta maofsini kule kwenye majengo ya TRA, PSSSF na Bandari.

Hakika huyu alikuwa trip shamba trip garage. Asingekatiza kwa COVID 19
Sina shaka, huu ndio ujumbe wa uzi huu. Mtu anayeishi kwa mazingira haya, kweli ndiye wa kumpigia hesabu za miaka kibao mbele?
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Tunashindwa kufikiria mambo mengine kwasababu ametuchomea nyavu zetu bure tenahalali nahatakama tulikata leseni huku kgm kunauvuvi unaitwa kipe niuvuvi wakistarabu lakini mpina wakishirikiana na magu walizichoma nakuita haram lakini unaleseni hapo hapo ukiwapa pesa wewe uliowapa pesa chombo chako kinakuwa halali jamaa kamsahau na deo Sanga nae alisema hivyo aongezewe muda
 
Ninyi majizi na Punguani mnadhani siku moja hamtalamba udongo sio. Jpm alikuwa kiongozi, sio haya majizi yenu ya Leo. Nonsense
Uzuri ni kwamba Magufuli hataona kifo chetu kama tulivyoona kifo chake. Ni furaha kushuhudia kifo cha jitu katili, jizi na DIKTETA
 
Uko sahihi sana mkuu, je ww kwenye huo mjadala wa mama Salma ulichangia nini? Au na ww uliishia kukasirika watu walivyokuwa wanajadili? Unavyosema hapa inakuwa kama huo mjadala hakukuwa na mitazamo tofauti, bali ni hiyo negative tu uliyoiona?!
Sehemu kubwa ya mjadala ilikuwa ni kumlaumu kwa nini analalamika. Majority walisoma headline, lakini hoja yake ilikuwa tofauti na headline. Ndicho nilichokiona, na hata ukijaribu kuuliza wamesikiliza mchango wake wote, unaishia kushambuliwa.
 
Mkuu,

Hata mimi Magufuli sikumpenda, utawala wake sikuupenda.

Na bado naweza kuwa nuanced enough kuona habari za kumuita Magufuli "walking carcass" si tu hazina tija, bali pia zinaonesha frustrations. Ni kama habari za mtu ana hasira halafu hajui cha kufanya zaidi ya kuitukana maiti.

Hivyo, si kika anay3k3mea lugha hizi ni mfuasi wa Magufuli. Tuch3 hizi siasa simplistic za kukisa n8ance za kusema mtu akikemea ujinga wa lugha chafu dhidi ya Magufuki, basi ni mfuasi wa Magufuli.

Mimi naweza kuwa sijamkubali Magufuli na sikubali lugha chafu zisizo na tija dhidi yake, hususan sasa ambapo ameshafariki.

Ningewaona hawa watu wa maana sana kama wangejikita kuwa na katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais ili ujinga wa utawala wa Magufuli usijirudie.

Kumtukana mtu aliyekwishajifia zake hakusaidii kitu.

Zaidi, kunatupa maswali tu kwa nini huyu mtu anamtukana mtu ambaye hana influence mpya tena katika jamii?

Unataka kupigana na maiti ya Magufuli?
Tz tuna huruma na utu wa kinafki Sana. Kawaida wema, huruma na utu havichagui. Kama ww ni mtu mwenye utu, huruma na wema, yafaa uvioneshe kwa watu wote.

Kipindi yule dingi yupo madarakani aliyokuwa akiyafanya yalikuwa dhahiri, na hamkuwahi kuongea. Binafsi siwezi kumtetea hata nikute mtu amemuongelea harsh kiasi gani, maana sijui aliumizwa vipi.
 
Sasa unamsema mtu kashakufa hata hakusikii mkuu?


Vipi tukijipanga tuwe na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ili tupate demokrasia nzuri zaidi?

Huoni hilo litakuwa na tija zaidi kuliko kumsema mfu ambaye hata hatusikii?

Wanasema simple minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

Are we using great minds by discussing Magufuli the person, tena kimipasho mipasho tu kuwa alikuwa "walking carcass" au "wanaompenda wakazikwe naye Chato"?
Hata kama hasikii, acha asemwe. Hii ndio mbegu aliyoacha amepanda,
 
Wapi amesema alikuwa sawa kufanya hayo???

Hivi nyie..kutokuwa sawa kwa magufuli ndiko kunakofanya watu waendelee kuwa wajinga kiasi hiki cha kuendelea kutukana marehemu??
Haya matusi yanasaidia nini sasa??
Mtu alishakufa!
Tatizo marehemu alihisi angeishi milele. Hakufikiria kesho yake

Ni kweli yeye ameshakufa, lakini je, machungu aliyowaachia watu nayo yamekufa? Uchungu uliopo kwenye familia za watu waliouwawa nao umeisha?

Yeye ameenda, lakini madhara ya matendo yake bado yapo
 
Sehemu kubwa ya mjadala ilikuwa ni kumlaumu kwa nini analalamika. Majority walisoma headline, lakini hoja yake ilikuwa tofauti na headline. Ndicho nilichokiona, na hata ukijaribu kuuliza wamesikiliza mchango wake wote, unaishia kushambuliwa.

Kushambuliwa ni sehemu ya demokrasia, labda kama huimudu. Nimesikiliza mchango wa mama Salma, lakini ni mchango wa mtu mwenye ubinafsi zaidi. Stahiki zote anazopata rais, makamu au waziri mkuu, mwenza wake awe wa kike au wa kiume, ni kufru kupatiwa zaidi kama anavyopendekeza mama Salma. Watu wamekuwa wakali kwasababu wanaona kabisa hao viongozi wanapata kuliko inavyostahili, halafu bado tena wenza wao wapewe tofauti!

Kimsingi mchango wa yule mama sio mbaya kwasababu alikuwa anatumia lugha ya kistaarabu, lakini hana busara kutokana na uhalisia uliopo. Tena kama ana aibu hakupaswa hata kuwa mbunge maana hana uwezo wa uongozi, bali anatembelea mbeleko ya huu upendeleo wa kimfumo.
 
Kushambuliwa ni sehemu ya demokrasia, labda kama huimudu. Nimesikiliza mchango wa mama Salma, lakini ni mchango wa mtu mwenye ubinafsi zaidi. Stahiki zote anazopata rais, makamu au waziri mkuu, mwenza wake awe wa kike au wa kiume, ni kufru kupatiwa zaidi kama anavyopendekeza mama Salma. Watu wamekuwa wakali kwasababu wanaona kabisa hao viongozi wanapata kuliko inavyostahili, halafu bado tena wenza wao wapewe tofauti!

Kimsingi mchango wa yule mama sio mbaya kwasababu alikuwa anatumia lugha ya kistaarabu, lakini hana busara kutokana na uhalisia uliopo. Tena kama ana aibu hakupaswa hata kuwa mbunge maana hana uwezo wa uongozi, bali anatembelea mbeleko ya huu upendeleo wa kimfumo.
Tatizo watu hawamshambulii kwa hoja, wanamshambulia yeye binafsi.

Na pia, kusema "hakupaswa hata kuwa mbunge" ni aina ya ubaguzi, pia stahiki anazopata mwenza wake sio zake, kuna shida gani kuhoji kuhusu haki zake? Tuangalie hoja ya mtu, ajibiwe yeye bila kuangalia yeye ni nani.
 
Kushambuliwa ni sehemu ya demokrasia, labda kama huimudu. Nimesikiliza mchango wa mama Salma, lakini ni mchango wa mtu mwenye ubinafsi zaidi. Stahiki zote anazopata rais, makamu au waziri mkuu, mwenza wake awe wa kike au wa kiume, ni kufru kupatiwa zaidi kama anavyopendekeza mama Salma. Watu wamekuwa wakali kwasababu wanaona kabisa hao viongozi wanapata kuliko inavyostahili, halafu bado tena wenza wao wapewe tofauti!

Kimsingi mchango wa yule mama sio mbaya kwasababu alikuwa anatumia lugha ya kistaarabu, lakini hana busara kutokana na uhalisia uliopo. Tena kama ana aibu hakupaswa hata kuwa mbunge maana hana uwezo wa uongozi, bali anatembelea mbeleko ya huu upendeleo wa kimfumo.
Mama Salma alikuwa Mwl kabla ya kuwa 'first lady ', ilibidi astaafu ualimu kabla ya muda sababu mwenza wake alikuwa mkuu wa nchi, Sasa akilipwa mafao yake ya Ualimu ni dhambi ?

Isitoshe alikuwa anajenga hoja ili wenza wa marais wajao huduma na haki zao ziwekwe kisheria.
 
Tatizo marehemu alihisi angeishi milele. Hakufikiria kesho yake

Ni kweli yeye ameshakufa, lakini je, machungu aliyowaachia watu nayo yamekufa? Uchungu uliopo kwenye familia za watu waliouwawa nao umeisha?

Yeye ameenda, lakini madhara ya matendo yake bado yapo
Ni kweli usemayo ;lakini je! Malalamiko,matusi na lawama juu yake vitatupeleka wapi?
 
Tatizo watu hawamshambulii kwa hoja, wanamshambulia yeye binafsi.

Na pia, kusema "hakupaswa hata kuwa mbunge" ni aina ya ubaguzi, pia stahiki anazopata mwenza wake sio zake, kuna shida gani kuhoji kuhusu haki zake? Tuangalie hoja ya mtu, ajibiwe yeye bila kuangalia yeye ni nani.

Sitaki kukubishia kwenye mtazamo wako, ingekuwa amepata hiyo nafasi kwa uwezo hapo nisingekuwa na tatizo sana, lakini hii ya kupata nafasi kwa upendeleo, na chaguzi za kihuni hiyo haikai vizuri. Kuangalia yeye ni nani hiyo haikwepeki, maana hata aliyempa hiyo nafasi ameangalia yeye ni nani. Stahiki anazopata mume wake sio zake wakati alikuwa anapewa heshima zote kama first lady?! Mkuu au umeamua kubishana tu nini? Kwa mtazamo huu hata kwenye huo mjadala ndio maana uliishia kupata tabu.
 
Mama Salma alikuwa Mwl kabla ya kuwa 'first lady ', ilibidi astaafu ualimu kabla ya muda sababu mwenza wake alikuwa mkuu wa nchi, Sasa akilipwa mafao yake ya Ualimu ni dhambi ?

Isitoshe alikuwa anajenga hoja ili wenza wa marais wajao huduma na haki zao ziwekwe kisheria.

Ninachojua ukistaafu bila kujali ww ni mke wa rais au vipi unapewa stahiki zako. Hilo liko kisheria labda useme una uhakika hakulipwa hiyo stahiki yake.

Stahiki zake ziko kwa mumewe, na kwa mtazamo wangu ni kama hao viongozi wanaokuwa overpaid. Hii ndio inayopelekea serikali kuwa na mzigo mkubwa kwa kuwa na list ya wastaafu wanaondelea kulipwa, huku wenzi wao wakiamini hata wao wana haki tofauti na stahiki za wenza wao. Matokeo yake watu wanakosa ajira, na huduma muhimu kisa kuna wastaafu wanaoendelea kulipwa bila sababu ya msingi.
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Wewe muongo.
 
Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
Hata ukiwa mkali vipi, truth shall prevail [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
You do realize that you are a walking carcass too, right?

Tulimpenda, hatukumpenda tayari keshatangulia. Tumuache sasa, inatosha.
Nani anae amua kuwa kumsema inatosha ?? baado tutamsema hadi 2050 ,oo hasikii ooh haina maana sasa si mtuache tumseme mnaumia nini kama hasikii na haina maana
 
I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?
Unajisahaulisha tu, kwamba Magufuli mwenyewe ndiye aliyekuwa bingwa wa kuwasema vibaya wengine.
Here was a leader who was uncooth, crude and brutal. People are venting now knowing he is incapable of coming back to hurt them.
 
Back
Top Bottom