OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ikukupendeza uwe Azam kuichambua Yanga ikipokea kipigo cha Al Hilal,kama sehemu ya kutuaga fans wako. Namaanisha tushiriki wote kuusindikiza mwili wa marehemu mtarajiwa toka Sudan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mayay ndyo yule Tembele?
Huyu jamaa anaweza. Tuendelee kumuombea heri na afya njema ili hiyo siku ikifika, basi aje kututoa pale alipoishia Leodgar Chilla Tenga.Huyu ndo raisi ajaye wa TFF
Mali ya kariaileHuyu ndo raisi ajaye wa TFF
Hawezi kutamba tena Karai, ile figisu alikuwa anafanya sasa kaja kiboko yake Tembele.Mali ya kariaile
Kisa,..... UTOPOLO mwenzio!Huyu jamaa anaweza. Tuendelee kumuombea heri na afya njema ili hiyo siku ikifika, basi aje kututoa pale alipoishia Leodgar Chilla Tenga.
Kumbe huyu ni mnyamwezi....Ndio raha ya kuwa na kaka msomi, kichwa na mtu mzito. Kaka yake Balozi Makocha Tembele alikua chachu sana ya mafanikio ya mdogo wake.
Hongera sana kwake jembe la kinyamwezi!
Hawezi kushuka toka Ukurugenzi kuja TFF. Labda kama hawatamconfirm.Huyu ndo raisi ajaye wa TFF
KUwa rais wa tff, na Huo ukurugenzi Kipi ni cheo kikubwa??? Acha kukariri platform ya Tff ni kubwa Sana kuliko ukurugenzi... Ndo nyinyi mliomuona Humphrey pole pole kaula baada ya kupata ubalozi toka ubunge!!..Hawezi kushuka toka Ukurugenzi kuja TFF. Labda kama hawatamconfirm.
Alistahili mda mrefu. Kuliko huyu chupi wa sasa.Huyu ndo raisi ajaye wa TFF
Kumbe tembele ni jina la ukoo nilijua a.k.a tu ya Bwana Ally.Ndio raha ya kuwa na kaka msomi, kichwa na mtu mzito. Kaka yake Balozi Makocha Tembele alikua chachu sana ya mafanikio ya mdogo wake.
Hongera sana kwake jembe la kinyamwezi!