Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

Weka takwimu mkuu. Simkubali Karia lakini tathmini zinaonyesha utawala wake una mafanikio kuliko Tenga
Mimi nimejikita zaidi kwenye mafanikio ya taasisi! Na siyo mafanikio ya kwenda Afcon!

Leodgar Chilla Tenga ndiye rais aliye irejeshea TFF heshima ambayo ilipotea kwa miaka mingi. Enzi za akina Ndolanga na FAT yao, mpira wa Bongo ulijaa siasa tu na figisu kama hizi zilizoanza kujitokeza wakati wa akina Malinzi na mwenzake Karia.

Hivyo naamini siku wenye mpira wao wakirejea tena kwenye madaraka, huenda tukapiga hatua kubwa zaidi ya hapa tulipo. Maana watawekeza nguvu kubwa kwenye maendeleo ya mpira, badala ya kwenye siasa za ccm, na hizi za Yanga na simba.
 
Andika atakapoishia Karia
Kwa bahati mbaya rais wangu bora kabisa wa TFF kuwahi kutokea, ni Leodgar Chilla Tenga. Ally Mayay atakuwa ni rais wangu bora kabisa namba 2 baada ya Tenga.
 
Japo huko TFF kunaweza kuwa na pesa pesa za wafadhili..ila ili wazitumie vizuri hawapaswi kumsahau Mkurugenzi ili waendelee kuwa salama..kwahiyo si haba na yeye ataambulia.
Hapo inaonekana aliyepangiwa kazi nyingine alikuwa anakula nao vizuri TFF dili zao zinaenda poa.
 
Na aione pia Haji Manara,nitashangaa kama Yanga watampa cheo cha afisa nahari kwa D zake mbili za Form 4.
Mdomo unamfanya aishi vizuri na watu, Je wewe na vyeti vyako vya degree unaweza shindana nae hata hadharani muandae mdaharo wa Michezo.
 
Back
Top Bottom