Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

Kisa,..... UTOPOLO mwenzio!
Last time Ali Mayay aligombea urais wa TFF huku makamu wake akiwa ni Jamhuri Kihwelo 'Julio'
Na katika maelezo yangu hapo juu, utaona sijamtaja kabisa Jamal Malinzi na mwenzake Wallace Karia! Isipokuwa Leodgar Tenga!

Ali Mayay ni mwanafamilia katika mpira wa miguu. Na ili TFF ipige hatua kubwa zaidi, inatakiwa iongozwe na wanafamilia wenyewe wenye uwezo kama alivyo Ali Mayay! Badala ya hawa wanasiasa kutoka CCM kama ilivyokuwa kwa Jamal Malinzi na huyu Wallace Karia.
 
KUwa rais wa tff, na Huo ukurugenzi Kipi ni cheo kikubwa??? Acha kukariri platform ya Tff ni kubwa Sana kuliko ukurugenzi... Ndo nyinyi mliomuona Humphrey pole pole kaula baada ya kupata ubalozi toka ubunge!!..
Kwa muundo wa serikali, cheo hicho ni kikubwa. Pale Tifuatifua ni mahali pa kupiga hela kiujanjaujanja. Hawezi kuacha Ukurugenzi akagombee Tifuatifua labda baada ya kustaafu. Next stage ni ukatibu mkuu wa wizara. Upo hapo?
 
Hapo tupo pamoja,ila msitegemee kubebwa
Hata wakati wa Tenga haya malalamiko ya kubebwa hayakuwepo! Ni baada ya kuingia Jamal Malinzi na mwenzake Karia, ndiyo tumeanza kunyoosheana kidole.

Kwa upande wa Ali Mayay, nina imani naye kutokana na elimu yake, lakini pia upeo wake katika masuala mbalimbali.
 
Last time Ali Mayay aligombea urais wa TFF huku makamu wake akiwa ni Jamhuri Kihwelo 'Julio'
Na katika maelezo yangu hapo juu, utaona sijamtaja kabisa Jamal Malinzi na mwenzake Wallace Karia! Isipokuwa Leodgar Tenga!

Ali Mayay ni mwanafamilia katika mpira wa miguu. Na ili TFF ipige hatua kubwa zaidi, inatakiwa iongozwe na wanafamilia wenyewe wenye uwezo kama alivyo Ali Mayay! Badala ya hawa wanasiasa kutoka CCM kama ilivyokuwa kwa Jamal Malinzi na huyu Wallace Karia.
Nafuta usemi wangu wa hapo juu!
 
Kwa muundo wa serikali, cheo hicho ni kikubwa. Pale Tifuatifua ni mahali pa kupiga hela kiujanja ujanjaujanja. Hawezi kuacha Ukurugenzi akagombee Tifuatifua labda baada ya kustaafu. Next stage ni ukatibu mkuu wa wizara. Upo hapo?
Ni cheo kikubwa but huwez kulinganisha na platform ya KUwa rais TFf. Hapo utaishia kula mshahara wa 3m, viposho vya kufunga tu. Tff pale we ikiwa rais we Ndo boss, pesa zotë wa wadhamini we ndo accounting officer, Bado za Fifa, Bado hujasafir Huko na Kule? Bado vitu Bongo kwelii... Ukurugenzi ni cheo kidgo Sana na urais wa tff ndugu.. acha kufikiria protokal Za kipuuzi hizo.. ndo maaana Leo MTU anaacha ukatibu mkuu wa wizara aende kugombea ubunge?? Kwa wewe utamcheka
 
Ni cheo kikubwa but huwez kulinganisha na platform ya KUwa rais TFf. Hapo utaishia kula mshahara wa 3m, viposho vya kufunga tu. Tff pale we ikiwa rais we Ndo boss, pesa zotë wa wadhamini we ndo accounting officer, Bado za Fifa, Bado hujasafir Huko na Kule? Bado vitu Bongo kwelii... Ukurugenzi ni cheo kidgo Sana na urais wa tff ndugu.. acha kufikiria protokal Za kipuuzi hizo.. ndo maaana Leo MTU anaacha ukatibu mkuu wa wizara aende kugombea ubunge?? Kwa wewe utamcheka
Kama umekubali ni cheo kikubwa basi, mengine mbwembwe tu na kutaka kujitajirisha.
 
Kwa muundo wa serikali, cheo hicho ni kikubwa. Pale Tifuatifua ni mahali pa kupiga hela kiujanja ujanjaujanja. Hawezi kuacha Ukurugenzi akagombee Tifuatifua labda baada ya kustaafu. Next stage ni ukatibu mkuu wa wizara. Upo hapo?


Wewe acha ujinga.. U rais wa TFF una hela sana.. na exposure za kufa mtu. Vikao vya Caf, vikao vya Fifa , mahela ya fifa yanakuja kila mwaka wewe ndie unayasimamia..
Bado mahela ya mechi za kirafiki za taifa starz ama za ushindani. Bado mahela ya viingilio vya viwanja vyote nchini ligi kuu inapochezwa tff kuna asilimia inaenda.. bado mikataba ya wazamini na TVs like azam ama dstv.

Samuel Etoo mwenyewe kakomaa nacho hicho cheo, didier drogba anakitaka sana hicho cheo kwao ila anakikosa

Katibu mkuu ni cheo kidogo sana ukilinganisha na u rais wa TFF
 
Wewe acha ujinga.. U rais wa TFF una hela sana.. na exposure za kufa mtu. Vikao vya Caf, vikao vya Fifa , mahela ya fifa yanakuja kila mwaka wewe ndie unayasimamia..

Samuel Etoo mwenyewe kakomaa nacho hicho cheo, didier drogba anakitaka sana hicho cheo kwao ila anakikosa

Katibu mkuu ni cheo kidogo sana ukilinganisha na u rais wa TFF
Kuiba hela....
 
Wewe acha ujinga.. U rais wa TFF una hela sana.. na exposure za kufa mtu. Vikao vya Caf, vikao vya Fifa , mahela ya fifa yanakuja kila mwaka wewe ndie unayasimamia..

Samuel Etoo mwenyewe kakomaa nacho hicho cheo, didier drogba anakitaka sana hicho cheo kwao ila anakikosa
Wengi hawalioni hilo.
 
Fahamu kuwa kwa nafasi yake hiyo ni mkubwa kiitifaki kuliko huyo Rais wa TFF
Achana na mbwembwe za itifaki, zinakusaidia Nini?? Leo hii DAS ni mkubwa kuliko DED, cha ajabu mwangalie gari analotembea nalo mkurugenzi na kigar Cha DAs hpo ujue itifaki bila hela ni upuuzi tu.... Bado pesa alizonazo DED, DAS ni Kato kadogo. Urais TFF ni platform kubwa kuliko HTa ukatibu mkuu wa wizara
 
Back
Top Bottom