Alphonce Lusako: Nimenusurika kutekwa kwa madai ya kuwa Gaidi, sasa namuachia Mungu suala la usalama wangu

Alphonce Lusako: Nimenusurika kutekwa kwa madai ya kuwa Gaidi, sasa namuachia Mungu suala la usalama wangu

Kwa waliosoma udsm miaka ya 2009/2012 huyu mwamba alikua moto wa kuotea mbali kwenye harakati za kutetea wanafunzi... Akipanda Rev Square huyu mwamba alikua anatema madini sijapata kuona...

3 July 2023

KESI YA BANDARI NA DP WORLD, ALPHONCE LUSAKO MMOJAWAPO WA RAIA WATATU WALIOFUNGUA KESI


View: https://m.youtube.com/watch?v=1Ib-leeSNPk


Court: Mukandala to stand trial for alleged unfair dismissal of a student

17 Apr 2021 — ... Alphonce Lusako from the institution of higher learning......

15 July 2017

Alphonce Lusako: Kuacha kutetea haki ni kuliua Taifa.....​



View: https://m.youtube.com/watch?v=Nxe1XLxp31E
 
Umekurupuka kutueleza tukio lako bila ya kufafanua wewe ni nani na kwa vipi hasa umehitilafiana na wanaokutafuta.
Unapokimbilia huku JF! Ni vema pia ukatoa short brief kuhudiana na nature ya tukio lako.Hii itasaidia kwa wale wanaotaka kukusaidia kwa namba moja ama nyingine basi wapate pa kuanzia.
Ni muimbaji wa nyimbo za injili toka Uganda.
 
View attachment 2956300
NIPO SALAMA ndugu zangu Baada ya TUKIO la KUWATOROKA Waliojiita POLISI, Pale Landmark Hotel, Ubungo, Dar es salaam. "Kama Magaidi Wanakamatwa kwa namna ile, Nadhani kuna shida kubwa kwa Vyombo Vyetu Vya dola. NITAELEZA kwa kina but in brief

Nikiwa na Kikao Kazi Landmark Hotel,Ubungo,Walikuja Watu Waliojitambulisha ni Polisi kutoka Makao Makuu, Wakiuliza nani anakisimu kidogo hapa, Tukawashangaa na kuwauliza nini akina nani? WAKADAI Wapo kazini Wao ni Polisi na kutuonyesha Vitambulisho haraka

Wakatuambia hapa Kuna GAIDI Kati yenu tunanamtafuta hapa, MWENYE simu ndogo atoe haraka, Mara kiongozi wa Msafara akapokea simu ya maelekezo Kwamba wote tupo under target. Tukaambiwa tupo Chini ya Ulinzi tangia sasa.

Wenzangu walipoanza kupiga simu kwa ndugu wakapokonywa haraka na kukatokea mzozo Mkubwa baina yetu na Wao, Nikafanikiwa KUWATOROKA kwa njia ya Makuti iliyopo kwenye Mtalo wa Maji na kuibukia Ubungo Darajani na kwenda sehemu salama kwangu

Nimearifiwa na Wakili Wangu, Kwamba Wenzangu Wawili (2) waliowekwa Chini ya Ulinzi na Walipelekwa Kituo cha Polisi chang'ombe na baada ya Mahojiano, Wameachiwa huru kwa hoja Kwamba Polisi Walikosea Target ya MAGAIDI

Hili si tukio la kwanza dhidi yangu, SIWEZI Nikapuuza hata kidogo dhamira yao, Nilipofukuzwa chuo, Nilivamiwa na Watu wa AINA HII na Wakajitambulisha kwa Staili hii hii, Bila WATU DDC, Dar es salaam, huenda ingekuwa HISTORIA

Nimeokoka kwenye tukio hili, sijui la kesho, Nasisitiza kwamba, MAGAIDI Hawawezi kukamatwa kwa namna ile, Najua tunachukua tafadhari kama Binadamu, Namwachia MUNGU Usalama Wangu tangu sassa.
yaani mbio zimekuokoa halafu unasema umwachie Mungu we bwana mdogo endelea kukimbia na Mungu usimwache, wakifungua kesi mahakamani ukapambane nao hukohuko wakija kihuni na wewe kua mhuni zaidi yao ova.
 
View attachment 2956300
NIPO SALAMA ndugu zangu Baada ya TUKIO la KUWATOROKA Waliojiita POLISI, Pale Landmark Hotel, Ubungo, Dar es salaam. "Kama Magaidi Wanakamatwa kwa namna ile, Nadhani kuna shida kubwa kwa Vyombo Vyetu Vya dola. NITAELEZA kwa kina but in brief

Nikiwa na Kikao Kazi Landmark Hotel,Ubungo,Walikuja Watu Waliojitambulisha ni Polisi kutoka Makao Makuu, Wakiuliza nani anakisimu kidogo hapa, Tukawashangaa na kuwauliza nini akina nani? WAKADAI Wapo kazini Wao ni Polisi na kutuonyesha Vitambulisho haraka

Wakatuambia hapa Kuna GAIDI Kati yenu tunanamtafuta hapa, MWENYE simu ndogo atoe haraka, Mara kiongozi wa Msafara akapokea simu ya maelekezo Kwamba wote tupo under target. Tukaambiwa tupo Chini ya Ulinzi tangia sasa.

Wenzangu walipoanza kupiga simu kwa ndugu wakapokonywa haraka na kukatokea mzozo Mkubwa baina yetu na Wao, Nikafanikiwa KUWATOROKA kwa njia ya Makuti iliyopo kwenye Mtalo wa Maji na kuibukia Ubungo Darajani na kwenda sehemu salama kwangu

Nimearifiwa na Wakili Wangu, Kwamba Wenzangu Wawili (2) waliowekwa Chini ya Ulinzi na Walipelekwa Kituo cha Polisi chang'ombe na baada ya Mahojiano, Wameachiwa huru kwa hoja Kwamba Polisi Walikosea Target ya MAGAIDI

Hili si tukio la kwanza dhidi yangu, SIWEZI Nikapuuza hata kidogo dhamira yao, Nilipofukuzwa chuo, Nilivamiwa na Watu wa AINA HII na Wakajitambulisha kwa Staili hii hii, Bila WATU DDC, Dar es salaam, huenda ingekuwa HISTORIA

Nimeokoka kwenye tukio hili, sijui la kesho, Nasisitiza kwamba, MAGAIDI Hawawezi kukamatwa kwa namna ile, Najua tunachukua tafadhari kama Binadamu, Namwachia MUNGU Usalama Wangu tangu sassa.
God have mercy on us..
 
Back
Top Bottom